Hii Timu inakuhusu nini wewe Dunduka ??? Mpaka unaifungulia UziView attachment 2514325
[emoji460]️ US Monastir[emoji739]Young Africans SC
[emoji1001] 12 February 2023
[emoji935] 11:00 Jioni TUN | 01:00 Usiku TZ
[emoji909] Uwanja wa Rades, Tunis
[emoji471] CAFCC
Usiku wa deni haukawii. Hatuondoki hapa mpaka usiku sana.
Hata Makirikiri walimpasua hapo hapo kwa nkapa
Na kwa akili zao basi wanajua Yanga na yeye atafungwa na kufungwa huko wanajua ni zaidi ya lile goli moja walilofungwa wao. Teh tehJana mmekimbia thread yenu hatujawaona Leo mmedamka kuja kumuanzishia Uzi mwanaume
Makolo bana
Hahahaa. Lol.mambo ya utabiri yasha kushinda
Halaf wewe jamaa vipi, hii Yanga ndio ifunge goli Tunisia.Full time, mon 3 young 1
Dooh!Halaf wewe jamaa vipi, hii Yanga ndio ifunge goli Tunisia.
Mon 5 vs Yanga 0
lazima tuone wezetu vipiii hukoView attachment 2514325
⚽️ US Monastir🆚Young Africans SC
🗓 12 February 2023
⏱ 11:00 Jioni TUN | 01:00 Usiku TZ
🏟 Uwanja wa Rades, Tunis
🏆 CAFCC
Usiku wa deni haukawii. Hatuondoki hapa mpaka usiku sana.
nahama nchiii hiiyanga akishindaaDooh!
Anza kufungasha.nahama nchiii hiiyanga akishindaa
sio kufungasha nipo stendiiiAnza kufungasha.
Mtani tukutane saa 3 usiku wa leo kuliangalia hili nalo 🤣🤣🤣Na kwa akili zao basi wanajua Yanga na yeye atafungwa na kufungwa huko wanajua ni zaidi ya lile goli walilofungwa wao. Teh teh
#Mbumbumbubana.
Hivyo umeshajua kwamba ushindi upo. Teh teh.sio kufungasha nipo stendiii
🤣🤣🤣 Kwa kweeeli.Mtani tukutane saa 3 usiku wa leo kuliangalia hili nalo 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Kwa kweeeli.
Japo Mtani punguzeni matarajio ya kwamba na sisi tutashindwa ili muweze kulala vizuri usiku wa leo
yaan leo tupo sambambaHivyo umeshajua kwamba ushindi upo. Teh teh.