Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Tumeshalala, kila mtu ashinde kwake sasa
Kwani wewe mwananchiHahaaaa aibu naona mm [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti aziza k
Usipende kucheka sana ππππnyieeee
Aziz Ki katika ubora wake
Kwa kipi? Jarubu kuwa specific ili tukusadie.Pamoja na kipigo ila Yanga ni timu nzuri sana. Simba wanalijua hili
πππΈπΈDraw ipo
Baba ya muzikiMusondo Ngoma
Hapo nimevuka muda sio mrefu leo, unasafiri?
We nionyeshe kwanza hiyo inchi, Ahjumma[emoji23][emoji23]
Kuwa na adabu kidogo89' Monastir 2-0 Yanga
Nchi bado ipo kwenye aibu
Tunsaubiri goli la 3
Tangu lini mkashinda kwenu? Mazembe ni either awafunge au mtoe draw.Tumeshalala, kila mtu ashinde kwake sasa