Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kawaida tuSasa itakuaje kwa wale mashabiki wilioko Jangwani kwenye bigi skrini?
Wapigwe tuu32' Monastir 2-0 Yanga
Yanga bado wanaloa hapa
Uzuri walibeba makoti32' Monastir 2-0 Yanga
Yanga bado wanaloa hapa
Wanawakilisha vyura tuKwan hao Yanga wanawakilisha nchi gani? Nawapa pole raia wa hyo nch[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndiyo nafika home,nimepita hapo Jangwani kama saa 10 hivi tuna Big screen pale......game onKumbe wameweka Gu Screen
Chukwu emeka atakua hapo
Kama issue ni hiyo na wao wakija Dar mechi ichezwe SAA 8 achana.Kisingizio baridi kali sana Tunisia
DaaahNdiyo nafika home,nimepita hapo Jangwani kama saa 10 hivi tuna Big screen pale......game on
Daima mbele
Binamu usitufanyie hivyo wenzako. Tuna mioyo pia 😓😓😓😓😓Nakazia bado la 3 na la 4 na la 5 😬
Alipata on targetNikesikia Aziziz keeeeyyyyy.....😅😅🤣
Mimi hapa seat ya mbeleChukwu emeka nakuita mtani rafiki yangu kabisa yani damu damu