Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kipa atasema tu ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes you are rich...Naona dalili za Bendera ya Tzee kupepea Nusu Mlingoti leo pale nchini Tunisia.
Goli mpaka dk 70 , tutakuwa tumepunguza mojaKona kuja Yanga goli linanukia
Kwao wapiKwani huko kwenu mpira unachezwa dk ngapi?
Utani wa jadi mkuu. Hata wewe Leo hauutaki[emoji23][emoji23][emoji23]Huu utetezi hamkutaka kuusikia kabisa ile jana, unalizungumziaje hilo?
Kalpana atabishaAziz K anajua.
BunjuKwao wapi
Hawa jamaa wa Monastri ni Africain waliochangamka tuHawa Yanga ni wakuwapima wakiwa uwanja wa nyumbani, wataweza kuutumia?
Huko ugenini walibahatisha tu wakajikuta makundi..
Jana mlitucheka sana bwana, Aigoooo Ahjumma[emoji23][emoji23][emoji23]Aigooo punguza spana. Horoya waleeeee[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ni Africain mbona jamaa zangu ulimi nje?Hawa jamaa wa Monastri ni Africain waliochangamka tu
Kuna watu wanaipita hii comment yako kama hawaoniHii mishuti ya Azizi Ki itakuja toa bandama la kipa
Wana mtaji wa goli mbili, hizi group stage mechi zinachezwa Kwa hesabu, muhimu ni point.Wamepaki basi