Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Aisee imekuaje tuna kosa mabao hivi?Maaaaaaamaaaaa Diara kaokoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee imekuaje tuna kosa mabao hivi?Maaaaaaamaaaaa Diara kaokoa
Yap kwa umri ule goli mbili lazima uchokeHawa jamaa kama wamechoka sana hivi
Unaijua Horoya Mkuu vizuri?hasira ya jana haijaisha
huwez fananisha hawa waarabu na wale wavuvi wa horoya mkuu jana mlicheza na timu dhaifu mnooo
Ndio ushindi wenuHii mishuti ya Azizi Ki itakuja toa bandama la kipa
basi zibadilishane, hizi ziende klabu bingwa na zile zije shirikishohasira ya jana haijaisha
huwez fananisha hawa waarabu na wale wavuvi wa horoya mkuu jana mlicheza na timu dhaifu mnooo
[emoji16]manifesting,si unajua tenaYes you are rich...
Tumezoea aibu wakuu hatutegemei makubwa labda itokee bahatibeki za leo zimezubaa kinyama
Hana namna anabanwa na watu watatu akiwa na mpira, kwa hii match wafungaji hata ikitokea ni wengine lkn sio yeye labda wajisahau tu.Mayele atoke Hana msaada
Unatazama mpira? Hapo kipa angefanya nini. Mpaka sasa kipa kasaidia sanaMdaka mishale wetu leo kapatwa na nini wakati huku Bongo anaongoza kwa clean sheets?
Baada ya Jana Simba kuleta heshima kubwa.66' Monastir 2-0 Yanga
Nchi bado ipo kwenye aibu
Ndio strongest league na sio best league au Lucrative leagueHalafu watu wanasema ligi yetu ni ya 5 Africa na 39 duniani.
Unatazama mechi ipi wewe. Uzi wa Simba upo kuleBaada ya Jana Simba kuleta heshima kubwa.