FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

Mtu kapigwa KO huko ndio Mnakuwa nae..unategemea nini
 
Hata yule Aziza ufunguo kapoteana hamna kitu mule.
 
Wewe acha utoto kwani uoni pasi za bigirimana na lomalisa mashabiki wa simba bwana wanataka kuanza propaganda subirini ngao ya jamii ndo mtajua tumepigwa au kupiga
 
Najua Yanga mmesononeka sana ila kwa mtu anayejua mpira Yanga wame improve sana ,ana uwanja mkubwa wa machaguzi hata mpira walio ucheza leo ni mzuri sana ila siku zote hata upossess kwa 100% mpira magori. Ila hii ni pre season kuna kitu naona kitakuwa funzo kwenu,ila leo nilikiwa nataka kumuona yule mrundi na Ki Aziz jamaa wapo vizuri sana.

Yote kwa yote mpira magoli. Ila yote kwa yote tuwekexe kwenye soka la vijana,hawa waganda moja wanajua kukaba na ku-absorb pressure na wanajua kutumia nafasi chache haya ndio matunda ya mifumo yao mizuri waliokuwa nayo kwao kujifunza mpira darasani tokea wadogo na mbinu mbalimbali kutokana na mazingira ambayo humrahisishia kocha kuplan.
 
Wewe acha utoto kwani uoni pasi za bigirimana na lomalisa mashabiki wa simba bwana wanataka kuanza propaganda subirini ngao ya jamii ndo mtajua tumepigwa au kupiga

Nikajua unasifia magoli kumbe pasi....

Hata mwanangu Jr huwa anajua kupiga pasi nguo zake....
 
Mwanayanga mwenye hekima na busara na mwenye akili jf nzima ni wewe ,na Kikwete na mzee manara nje ya jf
Una hekima Sana broo...haunaga mihemko weye!!!
 
Inakuwaje hawa wachezaji wa Yanga wamevaa jezi mbili tofauti?
 
Hii ni aibu ya Taifa. Mama Samia uko wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…