FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

FT: Uwanja wa Mkapa: Yanga 0-2 Vipers, Mwananchi Day (Agosti 6, 2022)

Leo tumefocus na kucheza soka la kuvutia tukasahau kutengeneza nafasi za magoli, ila sio mbaya improvements ni meziona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmwbondwa huko tutoleee kilio sie hapa.

Byuti byuti
 
Huyu jamaa wa EPL Newcastle naye boya tu mmepigwa tena[emoji1][emoji1][emoji1]
Mgonjwa wa ini, wamsamehe tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema kuna Fei, yule mtoto nuski ooh ni nuksi

Yani hii mechi angekuwepo angepiga yale mashuti yake ya robo fainali ya FA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km chiziiiii hapa.
 
Kituko nilichokiona kwenye mechi hii leo ni kipa kutoka mapumziko mpaka kuumia tena peke yake.Ina maana madaktari walisahau kumfanyia checkup wakati mapumziko!!
 
Nje bado kuna majembe mengi sana yakisubiria tu kuja kubadili upepo. Mayele, Morrison, Aziz Kii, Lomalisa, Kambole, Bigirimana!

Naamini kocha amewaacha nje kwa makusudi kabisa. Hawa Vipers ni wepesi sana kwa timu ya Wananchi.
Vipi mkuu walibalisha mechi Hawa viumbe?
 
Profesa naye aliidharau sana hii mechi! By the way, it is a friend match. Bado kuna muda wa kujipanga na pia kurekebisha makosa.

Leo tukubali tu matokeo. Boko la Juma Shaban dakika ya kwanza tu, nalo limechangia kuiondoa timu mchezoni!

Screen Protector naye amekubali kufungwa goli la kizembe!

All in all, timu bado ni mzuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuambia usianze kulia mapema, wee kunywa maji mengi, ili machozi yajae jae.

Muda bado wa wee kulia, utalia hadi kwikwi. Ushindwee wee na utachagua kugumia au kutoa kelele.

Byuti byuti.
 
Yani nna furaha kinyama[emoji23][emoji23][emoji23] kama nlijua nkajipikia kapilau kangu[emoji39][emoji39][emoji39] leo mtu sjui atarudije ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shost nawee ni lunyasi??
Woyooooooh
 
We jamaa uko na akili sawa sawa kweli?? Yaan Yanga walinunua mechi zipi hizo pamoja na za Simba zote 4 mlizokutana??

Binafsi leo nilitaka kuangalia zaidi maingizo mapya kama yako sawa au la, na niseme wazi Yanga imeimarika sana, tena sana tu.

BIGIRIMANA 8/10 amepiga pasi za uhakika nyingi, anatulia, nguvu na ball control nzuri. Kwa nafasi yake ya kiungo, naona katikati patakuwa na mchuano mkubwa sana. Naona wazi Mwamnyeto akilizoea benchi taratibu sambamba na Sure boy na nafasi zao zikitawaliwa na BANGALA NA BIGIRIMANA.

AZIZ KI 8/10 Jamaa ana nguvu, ball control, speed na macho makali mno, kwa nafasi yake na kwa nilivyomuona Feisal akiwa mzito kuendana na kasi ya KI itakuwa ngumu mno kucheza pamoja, kama KI ataanza basi namba 10 asimame KAMBOLE mwenye Speed na mikimbio yenye kuhisi pasi kutoka kwa kiungo wake. KI atokee kulia na MOLOKO benchi linamuhusu vizuri sana.

LOMALISA 8/10 Hatimaye tumeweza kuwa na beki 3 bora kwa miaka ya karibuni kwa tuliomuona MARCELO basi tunasema hapa Yanga wamepata mtu, mtulivu, mwenye speed, pasi sahihi na hata nguvu ya Kubattle.

MORRISON 5/10 Hajacheza vizuri leo, ingawa ni mchezaji machachari na mjanja sana, inatakiwa sasa mtu kama Mayele na Feisal wawe sharp sana kusoma akili na mikimbio ya huyu jamaa. Welldone boys.

KWA NILIVYOINGALIA YANGA LEO HII, NAWEZA KUSEMA KIKOSI CHA KWANZA CHA MSIMU UJAO KITAKUWA IFUATAVYO.
Hii ni kwa CAF
1. DIARRA
2. DJUMA
3. LOMALISA
4. BANGALA
5. MWAMNYETO
6. BIGIRIMANA
7. KI AZIZ
8. AUCHO
9. MAYELE
10. FEISAL
11. MORRISON

Kwenye Ligi Kuu naona kuna nafasi zaidi kwa SURE BOY, JOB, KIBWANA, MOLOKO nk.
Ha ha ha ha unajipooza machungu ila moyoni unagugumia maumivu, wote mlitegemea mtashinda ila ndiyo hivyo tena hivi vicomment ni kujifariji
 
We jamaa uko na akili sawa sawa kweli?? Yaan Yanga walinunua mechi zipi hizo pamoja na za Simba zote 4 mlizokutana??

Binafsi leo nilitaka kuangalia zaidi maingizo mapya kama yako sawa au la, na niseme wazi Yanga imeimarika sana, tena sana tu.

BIGIRIMANA 8/10 amepiga pasi za uhakika nyingi, anatulia, nguvu na ball control nzuri. Kwa nafasi yake ya kiungo, naona katikati patakuwa na mchuano mkubwa sana. Naona wazi Mwamnyeto akilizoea benchi taratibu sambamba na Sure boy na nafasi zao zikitawaliwa na BANGALA NA BIGIRIMANA.

AZIZ KI 8/10 Jamaa ana nguvu, ball control, speed na macho makali mno, kwa nafasi yake na kwa nilivyomuona Feisal akiwa mzito kuendana na kasi ya KI itakuwa ngumu mno kucheza pamoja, kama KI ataanza basi namba 10 asimame KAMBOLE mwenye Speed na mikimbio yenye kuhisi pasi kutoka kwa kiungo wake. KI atokee kulia na MOLOKO benchi linamuhusu vizuri sana.

LOMALISA 8/10 Hatimaye tumeweza kuwa na beki 3 bora kwa miaka ya karibuni kwa tuliomuona MARCELO basi tunasema hapa Yanga wamepata mtu, mtulivu, mwenye speed, pasi sahihi na hata nguvu ya Kubattle.

MORRISON 5/10 Hajacheza vizuri leo, ingawa ni mchezaji machachari na mjanja sana, inatakiwa sasa mtu kama Mayele na Feisal wawe sharp sana kusoma akili na mikimbio ya huyu jamaa. Welldone boys.

KWA NILIVYOINGALIA YANGA LEO HII, NAWEZA KUSEMA KIKOSI CHA KWANZA CHA MSIMU UJAO KITAKUWA IFUATAVYO.
Hii ni kwa CAF
1. DIARRA
2. DJUMA
3. LOMALISA
4. BANGALA
5. MWAMNYETO
6. BIGIRIMANA
7. KI AZIZ
8. AUCHO
9. MAYELE
10. FEISAL
11. MORRISON

Kwenye Ligi Kuu naona kuna nafasi zaidi kwa SURE BOY, JOB, KIBWANA, MOLOKO nk.
Mhhh mkuu
Lomalisa???
Bigrimana????

Kwanzia dakika ta 83 kiungo cha yanga kilikua non existent
 
Profesa naye aliidharau sana hii mechi! By the way, it is a friend match. Bado kuna muda wa kujipanga na pia kurekebisha makosa.

Leo tukubali tu matokeo. Boko la Juma Shaban dakika ya kwanza tu, nalo limechangia kuiondoa timu mchezoni!

Screen Protector naye amekubali kufungwa goli la kizembe!

All in all, timu bado ni mzuri.
Kipa wenu ni mfupi
 
Mwanayanga mwenye hekima na busara na mwenye akili jf nzima ni wewe ,na Kikwete na mzee manara nje ya jf
Una hekima Sana broo...haunaga mihemko weye!!!
Mlongo eti unasema nn? Au hujakutana nae akivurugwa??? Yaan huyu Tate ana busara na hekima? Mie nakojoaaaaaaaaah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
anaogopa jinsi alivyotia aibu nchi,serikali na chama kwa ujumla[emoji125][emoji125][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeeh sanaaa.
 
Profesa naye aliidharau sana hii mechi! By the way, it is a friend match. Bado kuna muda wa kujipanga na pia kurekebisha makosa.

Leo tukubali tu matokeo. Boko la Juma Shaban dakika ya kwanza tu, nalo limechangia kuiondoa timu mchezoni!

Screen Protector naye amekubali kufungwa goli la kizembe!

All in all, timu bado ni mzuri.
Sisi tulichukulia poa mechi jamaa waka kaza ,
 
We jamaa uko na akili sawa sawa kweli?? Yaan Yanga walinunua mechi zipi hizo pamoja na za Simba zote 4 mlizokutana??

Binafsi leo nilitaka kuangalia zaidi maingizo mapya kama yako sawa au la, na niseme wazi Yanga imeimarika sana, tena sana tu.

BIGIRIMANA 8/10 amepiga pasi za uhakika nyingi, anatulia, nguvu na ball control nzuri. Kwa nafasi yake ya kiungo, naona katikati patakuwa na mchuano mkubwa sana. Naona wazi Mwamnyeto akilizoea benchi taratibu sambamba na Sure boy na nafasi zao zikitawaliwa na BANGALA NA BIGIRIMANA.

AZIZ KI 8/10 Jamaa ana nguvu, ball control, speed na macho makali mno, kwa nafasi yake na kwa nilivyomuona Feisal akiwa mzito kuendana na kasi ya KI itakuwa ngumu mno kucheza pamoja, kama KI ataanza basi namba 10 asimame KAMBOLE mwenye Speed na mikimbio yenye kuhisi pasi kutoka kwa kiungo wake. KI atokee kulia na MOLOKO benchi linamuhusu vizuri sana.

LOMALISA 8/10 Hatimaye tumeweza kuwa na beki 3 bora kwa miaka ya karibuni kwa tuliomuona MARCELO basi tunasema hapa Yanga wamepata mtu, mtulivu, mwenye speed, pasi sahihi na hata nguvu ya Kubattle.

MORRISON 5/10 Hajacheza vizuri leo, ingawa ni mchezaji machachari na mjanja sana, inatakiwa sasa mtu kama Mayele na Feisal wawe sharp sana kusoma akili na mikimbio ya huyu jamaa. Welldone boys.

KWA NILIVYOINGALIA YANGA LEO HII, NAWEZA KUSEMA KIKOSI CHA KWANZA CHA MSIMU UJAO KITAKUWA IFUATAVYO.
Hii ni kwa CAF
1. DIARRA
2. DJUMA
3. LOMALISA
4. BANGALA
5. MWAMNYETO
6. BIGIRIMANA
7. KI AZIZ
8. AUCHO
9. MAYELE
10. FEISAL
11. MORRISON

Kwenye Ligi Kuu naona kuna nafasi zaidi kwa SURE BOY, JOB, KIBWANA, MOLOKO nk.
Mwamnyeto ndo beki wa kuwa ktk CAFCL?? hauko serious, useme Job labda
 
Back
Top Bottom