Mkuu siku zote unakuwa mbali na TV?Muda mchache kabla ya mechi nlikuwa naangalia uchambuzi
Nilipo exit nikarudi muda wa game kuanza ikawa hai respond, na saizi ndio wameitoa haipo hata kwenye list
View attachment 2529807
Ngoja nitafute kama kuna link yeyote inaonesha
Leo tu mzeeMkuu siku zote unakuwa mbali na TV?
Mfungaji nani?Gooooool,Simba 1-0 Vipers
Usiseme sikusema..Mwananchi
Ukipata tupia hapa tafadhali maana nimehangaika kutafuta bila mafanikio yoyote zaidi ya kuambulia audio coverageMuda mchache kabla ya mechi nlikuwa naangalia uchambuzi
Nilipo exit nikarudi muda wa game kuanza ikawa hai respond, na saizi ndio wameitoa haipo hata kwenye list
View attachment 2529807
Ngoja nitafute kama kuna link yeyote inaonesha
InongaMfungaji nani?
Azam ni wapuuzi tu
Weka DSTV 229Azam ni wapuuzi tu
InongaMfungaji nani?
Woyoooooooooo
Mwanzo mzuri...👊👊Nguvu Mojaaaaa