ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
mshambuliaji kibu d hahahah
Mechi ya kushinda anshindwa kumchezesha Baleke na Phiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mshambuliaji kibu d hahahah
haiwezi tokeaBao VSC 0-3 SSC wakikoswakoswa VSC 1-4 SSC
Tunza kumbukumbu hii
MwananchiTukuite MBWA?
Upo kwa marekebishoHuvi UGANDA hawana uwanja wa taifa..
Hata last week.Mwenye link atusaidie tafadhaliZBC2 hai respond kwenye azam max
Sina la kusema lakini Nasimama na Mnyama lolote na kiweNasimama na SIMBA yangu View attachment 2529486
Hao ni wa kupigwa tuKuwenj makini Simba..mtapigwa couter attack
Kabisa...Huu utaratibu wa kumchezesha chama Pembeni ni Wakipuuzi kwasababu Saido ni Mchoyo na Anawaza kufunga yeye tuuu lakini chama Huwa anawaza Ku assist Huyu Kocha Asitake ku force mambo
timu nzima ujinga mtupuUyu Onyango huyu
Muda mchache kabla ya mechi nlikuwa naangalia uchambuziHata last week.Mwenye link atusaidie tafadhali
saidot si alipiga hat trick ama mnasahau mkampamba kweliKabisa...
Nimeaangia mechi 3 kubwa... SAIDOO hajawa na IMPACT