Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mimi niliwaambia msibeti, haya yote niliyajuaDaah, leo Manula wa kulala ili kupoteza muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niliwaambia msibeti, haya yote niliyajuaDaah, leo Manula wa kulala ili kupoteza muda
Vipi kwani mkuu!Daah, leo Manula wa kulala ili kupoteza muda
Uwongo ukweli wako upo wapi.Huu uongo.
OkayHuku ni 82
Hawa wawekwe kizuizini wakirudi Dar. Ni wasaliti. Hiki sio kiwango chao, wamefanya kusudi.Simba hata kama ameshinda Lakini inacheza hovyo hovyo tu, chama angetoka na mwenzake ntibazokiza
Chama alitolewa sub tukamjia juu kochaSimba hata kama ameshinda Lakini inacheza hovyo hovyo tu, chama angetoka na mwenzake ntibazokiza
Mzee ebu Acha gunduHilo goli linarudi na wakulaumiwa ni Chama na Saidoo.
Nadhani sote tunaangalia mpira huu huu kwahiyo hakuna cha kubishana.Uwongo ukweli wako upo wapi.