FT: Vipers S.C 0-1 Simba S.C | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 25.02.2023

FT: Vipers S.C 0-1 Simba S.C | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 25.02.2023

mimi sio nabii lakini kwenye hili group LA simba watakaofuzu ni.

Raja na simba
 
Ushindi ndio unahitajika, sare bado ni kimeo tu.
Hongereni kwa ushindi. Vijana wamepambana mwanzo mwisho. I wish na wananchi kesho nao watapambana kama nyinyi.

Kwa ushindi wenu wa leo, matumaini ya kusonga mbele yamerejea rasmi.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Leo Horoya afe ili turekebishe msimamo wa kundi mechi ijayo na vipers Dar!
Raja kushinda kwa mechi leo inaweza kuwapunguzia presha kuelekea mechi yao ya marudiano kwasababu Raja wataitaji point moja tu ili wamalize kazi na wakiangalia bado wana gemu nyingi mbele. Mechi ya marudiano Horoya wakikomaa wanaweza wakaambulia point tatu au moja dhidi ya Raja.
 
DK Ya 70 hapa....

Horoya Bado Wapo nyuma Kwa Bao Moja...

Unaambiwa Muda huu...Muda huu..! hapa Kibanda Umiza Utopolo Wanaomba Horoya Asawazishe...!

Nye Utopolo... Nyie si Wageni Kwenye Michuano Ya Kimataifa..? Acheni Mnyama awaelekeze Jinsi Ya Kukatiza..!
 
Al Ahly anaongoza bao 2-1

Ila Mamelody nawaona ni bora zaidi kuliko Al Ahly
 
Raja kushinda kwa mechi leo inaweza kuwapunguzia presha kuelekea mechi yao ya marudiano kwasababu Raja wataitaji point moja tu ili wamalize kazi na wakiangalia bado wana gemu nyingi mbele. Mechi ya marudiano Horoya wakikomaa wanaweza wakaambulia point tatu au moja dhidi ya Raja.
Sure. Horoya anaweza chukua point (s) kwa Raja kule Guinea.
 
DK Ya 70 hapa....

Horoya Bado Wapo nyuma Kwa Bao Moja...

Unaambiwa Muda huu...Muda huu..! hapa Kibanda Umiza Utopolo Wanaomba Horoya Asawazishe...!

Nye Utopolo... Nyie si Wageni Kwenye Michuano Ya Kimataifa..? Acheni Mnyama awaelekeze Jinsi Ya Kukatiza..!
Inaweza ikawa kila mtu ashinde kwake halafu jioni mahesabu.
 
Bora kidogo Vunjabei atauza jezi zake maana watu walikasirika.
 
Sure. Horoya anaweza chukua point (s) kwa Raja kule Guinea.
Hataweza kwasababu ya aina ya mpira wa raja ..raja ukijiroga ufunguke umeisha ndio kilituponza simba sasa hawa horoya wamejitahidi kukaba sasa kwao watakaba pia?? Ndio swali hilo..
 
Ninachokiona Hapa....Raja imeundwa na Vijana Wadogo Wadogo na pia ni Wepesi sana..!

Horoya hapo Wapo Kwao ni kama Wanautafuta Mpira..!
 
Hataweza kwasababu ya aina ya mpira wa raja ..raja ukijiroga ufunguke umeisha ndio kilituponza simba sasa hawa horoya wamejitahidi kukaba sasa kwao watakaba pia?? Ndio swali hilo..
Kukaba ni njia nzuri ya kucheza na aliyekuzidi ubora. Kwanza unabidi umpe heshima yake kwa kucheza kimbinu zaidi, atawale mchezo ila asiwe na madhara kisha kucheza counter attack. Msimu uliopita walikuwa kundi moja na Horoya alishindia kwao pia. Chochote kinaweza kutokea. Baada ya Simba kufungwa goli tatu tena Dar na vipers kula tano je ni nani alitegemea Horoya kufungwa kwa tabu hivyo away?
IMG_20230225_235153.jpg
 
Back
Top Bottom