IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Simba ameua mume wa utopoloVipers wanakutana na mke wa mtoto wao manzoki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba ameua mume wa utopoloVipers wanakutana na mke wa mtoto wao manzoki
Horoya hana game ya kushinda sasa.Leo anapigwa na Raja then anapigwa game ijayo tena na Raja huko kwake na hatakuwa na uwezo wa kuwafunga Vipers kabisa.Sio rahisi endapo horoya atashinda zote kwake.
Umesahau vipers alimchapa Utopwinyo goli mbiliHuyu Vipers si ndio aliyemtoa kibonde Tp Mazembe?
Waganda huwa hawana mchezo pale kwao. Ushauri wangu ni kuwa Simba ipaki tu bus kupunguzwa idadi ya magoli
Pilipili FC leo wataishia kulialia tena, kama ilivyo kawaida yao. 😁
Vipers kama kawaida yenu piga hao thimba bao 2 tu zinatosha waendelee kuburuza mkia
Simba anapigwa 3 kavu
Kitambo tu mi najua kuwa maneno sio mkuki, japo wanaoyaunda mpaka yanakuwa ka' bundukiKila la kheri Viper's 🐍🐍
Horoya akichapwa Leo basi Simba ipo katika nafasi nzuriKufuzu kundi huwa ni hesabu kali, iwapo Simba sc atashinda game zake za nyumbani zilizobaki, basi ana nafasi ya kusonga mbele.
Umetazama amecheza mechi ngapi?Hata al ahly kwenye group lake hana point until now but no wonder akafuzu
WamemchomaHuyu chama ana shida gani??
Sio rahisi raja kushinda kule Guinea.Horoya hana game ya kushinda sasa.Leo anapigwa na Raja then anapigwa game ijayo tena na Raja huko kwake na hatakuwa na uwezo wa kuwafunga Vipers kabisa.
Simba tunampiga Vipers kimoja ten next week
Sasahivi Mikia wanaogopa hadi kuanzisha Uzi mechi zao[emoji23][emoji23] yaani wamenywea haswa. Ilikuwa saa 6 usiku wanaanziaha Uzi za live updates
Uganda ni ndugu zetu wa damu. Kila la kheri waganda.. Ushindi wa bao 3-0 utapendeza zaidi
Tujiandae kwa aibu nyingine
Waliobeza hawaonekani jamvini kama wako sello, hawatakiwi na jamii kama keroBado masaa machache tuanzw kusikia hizi kauli
"Hamna kocha humo"
"Mo tapeli tu"
"Bocco Mzee anarogq wenzake"
" Mgunda alikua kashaipatia timu mzungu anaharibu"
"Hongera kwa wale wanaoihujumu timu"
" Mangungu anatakiwa aachie uongozi"
" Manula nae kiwango kimeshuka"
" Hawa jamaa kwa mkapa wakija hawatoki"
" Chama hatakiwi kucheza winga anatakiwa acheze kati pale"
" Sawadogo tumepigwa"
" Kwanini tumemuacha mkude dar"
" Sakho anarukarukq tu"
" Kocha ampe nafasi Kibu Dee"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakazia... hii ndiyo Vipers iliioifunga Utopolo na TP Mazembe.
KwendaKinyumenyume FC naona wameamka wamevamia uzi
Sawa ila Saido alitakiwa atoke mapema ili at least kuleta pressure pale mbele. Una dakika zaidi ya 30 zimebaki haubakishi mfungaji hata mmoja pale mbele.Pawasa anatoa Maoni kwamba Makocha wamefanya substitute nzuri Kumuingiza Nyoni Ameituliza timu.
Litatokea ndio lakini ni huko kwao viper litatokeaHatujinyongi wala hatunywi sumu, mpira dakika 90.
#Lolote linaweza kutokea
Angalau milioni tano zimepatikana ugenini