Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
So far so good..
A positive motivation
A positive motivation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kwenuSimba wametupa kazi ngumu kweli kweli, Kesho Yanga itabidi tukaze hasa!!
Kwani ulitakaje?Huu sio ushindi kabisa.
Sidhani kama wameingia kwenye ule mchezo mchafu ni game tu mkuu inakuwaga hivyo.Anajua kila kitu ila wameamua tu yeye na Chama kuingia kwenye mchezo mchafu tu.
Bamako anapiga mtu kesho 2,Africa magharibi kuna mpira mkubwa sanaTimu Real Bamako nipeni like hapa
Huo moshi unaotoa unashangazaVipers 3-0 Mikia Niko paleeeee
Inatakiwa Horoya afungwe.Game ya Horoya vs Raja ni saa ngapi?
Na mulivyo kisasi cha wiki hii, Kesho tumekosa walau tupate japo suluhu ama sare, vinginevyo mimi nawafahamu ninyi...Kazi kwenu
Nakazia... hii ndiyo Vipers iliioifunga Utopolo na TP Mazembe.
Huyu Vipers si ndio aliyemtoa kibonde Tp Mazembe?Kwa namna Simba na Vipers Walivyo cheza hii mechi ni haki Yao kuwa katika nafasi walizopo.
Kufuzu kundi huwa ni hesabu kali, iwapo Simba sc atashinda game zake za nyumbani zilizobaki, basi ana nafasi ya kusonga mbele.Hata al ahly kwenye group lake hana point until now but no wonder akafuzu
Sio rahisi endapo horoya atashinda zote kwake.Kufuzu kundi huwa ni hesabu kali, iwapo Simba sc atashinda game zake za nyumbani zilizobaki, basi ana nafasi ya kusonga mbele.
Ipo CHAMPIONS LEAGUEJamani Nipeni Jibu....Hivi Simba ipo CL au Confederation..?
Maana hapa Sielewi.. Niilaumu au Niipongeze..?