Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
HahahahaWamefungwa wengine wanaumia wengineView attachment 2529954
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaWamefungwa wengine wanaumia wengineView attachment 2529954
Mkuu anzisha saa hizi wa Real Bamako vs UtopoloMambwiga waliouanza uzi kwa vidole juu kama waimba taarabu now siwaoni
Tukacheze hivi na Raja kwao? Wachezaji wamechoka hata kabla ya gameKwa huu mpira wa Simba ni bora tujitoe tu. No substance at all kuelekea mbele.
Anajua kila kitu ila wameamua tu yeye na Chama kuingia kwenye mchezo mchafu tu.Nadhani SAIDOO anahitajika kutengenezwa jinsi ya kupika pasi za magoli
Wote ni was.ngeMambwiga waliouanza uzi kwa vidole juu kama waimba taarabu now siwaoni
2g ni laini one mkuu, data nimewasha laini 2 na inasoma H+ angalia vizuri...Mtandao wenyewe ni 2G lakini upo kuilaumu Jf, pandisha mtandao huo.
Huu sio ushindi kabisa. Tushukuru mmakonde mwenzetu wa Msumbiji katubeba.Rudia tena
Greatest Of All Time aione hiiMkuu anzisha saa hizi wa Real Bamako vs Utopolo
UmeonaMitanzania hatitakagi kufungwa, vipers nao watu.