Rascallone
Member
- Dec 20, 2017
- 64
- 52
Search live808Hii app sijaiona app store au ni un official mpaka google?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Search live808Hii app sijaiona app store au ni un official mpaka google?
YeahLogo yake ndio hii?
View attachment 2529825
Hata kutuliza mpira nako kunahitaji mfumo?? Au kujua wapi upige pasi wapi, wapi uweke kifuani wapi upige kichwa, wapi uruke, wapi ukabe ni mambo ya mfumo? Basi huo mfumo unaotafutwa ni wa hovyo sanaHapana sio mbovu mm naona mfumo wa simba umebadilika wachezaji wanastrugle sana hawajazoea huu mfumo mpya wa huyu coach.
Ila kwa hii match alafu simba wangecheza mfumo wao ule wa mgunda wangeshinda goli nyingi..
Isiyo na faida.Kibu anamikimbio
PLAYSTORE?Search live808
Wakati bado mnashangaa mataa hamjawahi kucheza usikuVipers hatujakata tamaa, St. Mary's anatoka mtu ila watalala kwa viatu...
#Lolote limaweza kutokea...
Ni kweli hata 3 bilaHatujinyongi wala hatunywi sumu, mpira dakika 90.
#Lolote linaweza kutokea