Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Nmesema tena ieleweke hivyoSimba SC WIN
Naomba asitokee wa kusema uli-edit nimeweka mapema kabisa
0-3 au 1-4 nasimamia hapo
Mimi sio Simba Ila Simba anashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmesema tena ieleweke hivyoSimba SC WIN
Naomba asitokee wa kusema uli-edit nimeweka mapema kabisa
Ungia hapo walipoandika live events kuna games zote zitazoomeshwa pamoja na ya simba ipo. Scrolldown utaiona game ya simbanichague ipi hapa?
![]()
Mtandao wenyewe ni 2G lakini upo kuilaumu Jf, pandisha mtandao huo.Hivi huu ujinga unanitokeaga mimi tu ama na wenzangu hivi hivi?
JF siku hizi imekuwa kama Makolo vile..View attachment 2529848
Pole mkuu.Muda mchache kabla ya mechi nlikuwa naangalia uchambuzi
Nilipo exit nikarudi muda wa game kuanza ikawa hai respond, na saizi ndio wameitoa haipo hata kwenye list
View attachment 2529807
Ngoja nitafute kama kuna link yeyote inaonesha
Yaccine tv app pambe tu ,inaonesha
Kikubwa ushindiTunaongonza kwa goal ila hatuna team ukweli tuseme
Tuko apa jukwaa la vipers tumeona goli lenu la dhurumaUtopolos.. mko wapi?
Dhuruma tenaTuko apa jukwaa la vipers tumeona goli lenu la dhuruma
Unataka point au mabirianiSimba haichezi mpira wa kimashindano kabisa.
Yaani km wanacheza na ihefu fc..
Isee wachezaji wanatuvunja moyo washabikii lile pira birianii limepotelea wapi?
Sure kipindi cha pili watulie mpira umekua butua butua.Kazeni kazenii