FT: Vipers S.C 0-1 Simba S.C | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 25.02.2023

FT: Vipers S.C 0-1 Simba S.C | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 25.02.2023

Simba wajitahidi kukomaa hadi dakika 90 waondoke na alama tatu, hawa Vipers kama watapata sare leo inaweza ikafanya mechi ya marudiano ikawa ngumu sana kwa Simba. Jamaa wana kasi sana kinachowangusha ni ubutu tu wa washambuliaji wao. Hivyo Simba waanzie huku huku kuwakata matumaini
Hakuna team hapo vipers ni wabovuu..
 
Halftime Sub

Serge Mwenge anaingia kuchukua nafasi ya Abdu Karim Watambala. Kwa upande wa vipers
 
nichague ipi hapa?

screenshot-of-yacine-tv-app.jpg
Quality nzuri ni BEIN SPORTS 720P INGIA HAPO SELECT

Bein Sports 6
 
Kocha wa Vipers suti imemlemea kaivua kapiga traki
 
Haya shikilieni bomba,ila kwa jinsi mnavyokaba kwenye box lenu mnaweza wapa penati.
 
Wanapoteza mpira haraka sana, hawakabi. Kwa kifupi hawajui wafanyalo. Hili goli linarudi na kufungwa tunafungwa.
 
Back
Top Bottom