sinyaghile
JF-Expert Member
- Mar 9, 2023
- 270
- 381
Mbona na nyie mechi ya kwanza mlikutana nalo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ule wimbo wa yanga ni ya mwisho kwenye kundi tunaendelea nayo au ndio tuizike leo?. Nauliza tu ndugu zangu....hiiii bhagoshaaa liboloooo litaleee heneee Simba yasokomejwa.
😹😹nnge shangaa Mwarabu amuache salama uyu KibondeJana ulisema Mwarabu kapania Mkuu 🤣 🤣 🤣
Sawa mkuuEndelea kuteseka
Basi jipige kifua ulipo, mmefungwa goli 1 ila points wanazo Waarabu.Nilikuambia huwa sikimbii
Utopolo mko mkiani, mna alàma mbili tu hamjashinda hata mechi moja. Mkitaka kwenda robo itabidi msimamo uwekwe juu chini.
Utadhani wao wanaongoza kundi lao.
Nyani haoni...
Safari bado haijafika tamati msisahau hili.Mlisemaga sisi mipira ya kutenga hatuiwezi, yako wapiiiii?
Leo hadi mteme ndoano.
Yanga ipi wewe utopoloNa mambo yakienda hivhihiv..
Yanga mechi ya marudio, atatupiga Tena goli za kutosha.
Bora unyamaze tuUtopolo mko mkiani, mna alàma mbili tu hamjashinda hata mechi moja. Mkitaka kwenda robo itabidi msimamo uwekwe juu chini.
Utadhani wao wanaongoza kundi lao.
Nyani haoni...
Sawa, ukalale sasaBasi jipige kifua ulipo, mmefungwa goli 1 ila points wanazo Waarabu.
Kwamba mashabiki wa simba walishangilia ninyi kutoka Draw [emoji28][emoji28]Tuliyoyaona uwanjani last weekend Vs Ahly nilipanga kulipiza leo. Of course, nilipo nimeshangilia sana.
Isipokuwa babe wangu please! 🤣 🤣View attachment 2838114
Waambie wakuongeze dozi hapo mirembe master
Zimefikia hapa, Mikia ni Mikia tu [emoji38]Zile kelele za yanga ya mwisho zimefilia wapi?
Vipi tuendelee na ule wimbo wa mechi 3 point 2😅Mbona na nyie mechi ya kwanza mlikutana nalo
Technically Giroud ni striker wa daraja la kawaida sana, anaanzaje kuwa Bora... Ukiulizwa striker Bora ufaransa kwa miaka 5 iliyopita utamyaja Olivier Giroud? Kwa kipi hasa?We jamaa nawe! Kwahiyo wewe unajua mpira kuliko Didier Deschamps aliyekuwa akiyaona yote hayo lakini bado akabaki kuwa choice yake ya kwanza? Kwa wanaojua mpira striker si kufunga tu na kugusa mpira.
Hivi lini mtamheshimu Giroud mfungaji bora wa wakati wote wa Ufaransa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zife wapi ilhali timu 'bora ya Yanga' iko mkiani kama sisi ambao siyo timu Bora.Zile kelele za yanga ya mwisho zimefilia wapi?
Kwani nani kasema imeisha?Safari bado haijafika tamati msisahau hili.
Yanga alotupiga 5, mechi ya marudio atatupiga 5 au zaidi.Yanga ipi wewe utopolo