gwamaka sauli
Member
- Nov 2, 2022
- 12
- 6
Wakuu mwenye link ya game ya simba msaada[emoji122]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaSimba ilimchapa Mamelod wapi? Ndio maana napendelea kula kwanza kabla ya kuvuta.
Njoo mwaya inbox tuzungumze hili suala kwa undani rafiki yangu, Mimi na wewe hatuwezi kushindwana kamwe..!!Kwahiyo ndiyo nini kunisusia ile culture mpaka naipoteza?
Kwa maana hiyo yupo tano Bora!ya nne kati ya nne
Limeisha hiloNjoo mwaya inbox tuzungumze hili suala kwa undani rafiki yangu, Mimi na wewe hatuwezi kushindwana kamwe..!!
Leo jini baleke amekuwa majanga?ONANA ATIMULIWE
NTIBA NAE ATIMULIWE
BALEKE NALO NI MAJANGA AISEE
SIMBA HAKUNA MTU PALE MBELE
Kaa kwa kutulia...Simba 2nd half huwa wanakata moto
AwapSimba 2nd half huwa wanakata moto
Hata Oliver Giroud alikuwa anaaminiwa sana na Didier Dischamps kwenye world cup, lakini ni striker mwenye mapungufu kibao ambayo hata asiyejua mpira anayaona.Kibu ameaminiwa si na makocha waliopita tu ila hata huyu wa sasa na kocha wa timu ya taifa humwita kwanini?
Na moto ushakata.Simba 2nd half huwa wanakata moto
Afelije zaidi... Kuna chochote unatarajiaBaleke anafeli wapi?
hizi timu za leo wanacheza ma bwana miti, hakuna wachezaji hapoKwa maana hiyo yupo tano Bora!