FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

FT: Wydad AC 1 - 0 Simba SC | CAFCL | Stade de Marrakech | 09.12.2023

Ndio akili yako ilipowaza. Hii timu kabla ya kucheza leo kashinda mechi moja tu ya juzi ya ligi. Ila zote kafungwa, wewe unaleta unazi wako hapa. Hujui kama hao Wydad wamefungwa hadi na Galaxy?
Endelea kuteseka
 
Hata Oliver Giroud alikuwa anaaminiwa sana na Didier Dischamps kwenye world cup, lakini ni striker mwenye mapungufu kibao ambayo hata asiyejua mpira anayaona.
Boss sijui unatazamaje mpira ila binafsi naona Giroud alikuwa ni striker mzuri na aliaminiwa na timu tofauti tofauti hadi katika uzee wake.
Hivyo basi hata Kibu kuaminiwa haimanishi kwamba sio mbovu na hafai kuanza, pengine kwa sababu ndio option iliyopo sababu hakuna striker wa maana zaidi yake.
Ukishasema hakuna striker wa maana zaidi yake inamaana ni sticker bora aliyepo
Halafu Mimi naongelea hasa aina ya uchezaji wake na sio kuaminiwa/kutoaminiwa.
Mkuu, aina ya uchezaji ndo inasababisha mchezaji aaminiwe na kupangwa au la.
 
Back
Top Bottom