Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wydad ana mechi moja nyumbani (Asec) uhakika point 3 jumla atakuwa na 6Yaan Simba ivuke makundi? Thubutuuu.
Nafas ni Wydad na Assec
🤣🤣🤣🤣 Aise mmekufa kiumeTokaaa hapaa
Nyie makolo kwa kucheza Mpira wa mdomoni wa rank za CAF na hesabu za kijiweni hata Madrid mnaipiga 10 bila!Kundi la simba,simba atapita,atamfunga wydad home , jwaneng home
Gongowazi
Bwana Gucci gang taptap tushamjua sasa..!!Mpaka kufika saa sita usiku, tap tap atakuwa keshajulikana
Toka mwanga ww na utabiri wako wa kipuuzi..hz goli 6 ziko wapi? Umeuona mpira wwa Simba kwa sasaIngekua Mimi mwandishiii ningeandika ivi a.....atima maji yamejitenga na mafuta nani alisema wydad wabovu..wee zakaria umepgajeee apo
Niniyako ya ngap
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simbambili
Ys,simba hatuna timu ya kuifunga yanga madam nurseNa mambo yakienda hivhihiv..
Yanga mechi ya marudio, atatupiga Tena goli za kutosha.
Ww ni mimi mkuu,simba hatuna timu ukilinganisha na wenzetu utopoloMbona Mimi sio mfatiliaji sana wa mpira lkn najua Simba Ina tatizo.
Nyie wanasimba wenzangu mnaofatilia mpira za ndan na nje .
Mnabet na kubet.
Mnawezaje kudhan Simba hii itafika mbali???.
Huo ni ushabiki wa kikuma
Sikoseagi
Tumewazidi vingi kaushaSikoseagi
Dunduka ilikuwa lazima aungue
Limbukeni kabisa
Yanakera Kweli kweliTumewazidi vingi kausha