FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Kipa wa simba ana kimbia mipira [emoji81][emoji81][emoji91][emoji91] kuna utofauti mkubwa kwa wapiga penalti wa simba na wydad.waarabu watulivu wala hawana pressure
 
Tumekubali tumetolewa kwa penalt, vijana wamejitahidi bahati haikuwa yetu.
 
Ila penati wale unaowaamini ndio wanakosa, sijawahi kumuona Kapombe akikosa penati tokea nianze kutizama mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…