FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Marehemu alikuwa mjehuri sanaa- kufa kafa lakini ni Kwa mbinde sanaa

All in all SIMBA tumepambana hakuna yeyote wa kutucheka kazi imeonekana- next time heshima itakuwa kubwa zaidi Kwa SIMBA
 
Mimi ni shabiki wa Simba ila Kwa mpira huu walioonyesha Simba bado sana yan naludia tena bado sana.

Mpira gani huu butua butua kila dakka watu hawaweki mpira chini, mara majitu yanagongana Matatu yote kwenye Njia moja mpk unajiuliza sasa huyu Mpumbavu alikuw anafat nn huko kwny namba ya mwenzke,

Ukija kwa Midfielders nd kabsa utumbo yan Mtu kupiga pasi ya nguvu na iliyonyooka ni shughul mpk unajiuliza ivi hawa watu Mazoezin huw wanafundishwa ujinga ama ni nini ?

Cha mwisho kocha tunaye mzuri sana ila Kikosi alichonacho ndo Kibovu pale Simba Viungo, Na Mawinga hakuna kabs hii timu ipangaluliwe tu wabaki kam wachezaj wanne tu.

Simba asije wakjichanganya wakamfukuza kazi huyu kocha maan ni Bonge moja la kocha ana mbinu sana ila Wachezaji ndo hakuna, huyu kocha apewe wachezaji wazuri tu Simba itafika mbali.

Cha mwisho kabsa Huyu kipa Ni mpuuzi. Uzi Tayari
 
Hivi hata mabao ya matuta nayo ni robota tano tano za mama? Sielewi hapo; Simba watapata robota 15 za ziada kabla ya kuaga mashindano haya.
Hakuja kitu km hicho Mama hana pesa za kuchezea 15 kwa kipi ?
 
Kiufupi Onyango is hopeless na ni scam . Ifike pahala sasa kama
Kweli simba inataka kufika mbali , iachane na hawa wachezaji wa TIA maji tia maji

Tukubali kwamba Simba haina improvement , kwa miaka 5 SSC anafika Robo fainali ima shirikisho ima ligi ya mabingwa...... kwa miaka 5 hiyo hajawahi kuvuka hiyo hatua, what do you think ?
Ni mambo ya hovyo, kama Yanga asingekuwa kwenye hatua ya kwenda nusu fainali, basi tungeaminishwa tena this is big achievement.......tunaona wote kuwa this is not big achievement..... Yanga anakwenda kuandika historia MPYA
Simba mjitafakari


Yanga TIA maji TIA maji , anakwenda nusu fainali however hakuwa na path ngumu ..... but it does not matter .

Hii mambo ya kufa kiume ni ujinga, ukiangalia game Dar , ni ubinafsi na lack of team work zimewaponza
Sioni improvement kwa sababu miaka 5 mfululizo huvuki hiyo hatua, unawezaje kusema kuwa you are learning !

Tukubali kuwa hatusajili wachezaji wanaoweza kutuvusha hatua ya robo fainali,tunachoweza sisi ni makundi tu kwenye point,
Knock-out hatuziwezi...... hatuna wachezaji wa knock out tulione hili.
Nilisema hakuna mambo ya Inshallah inshallah, Mpira ni plan na investment

Mfano mtu kama Chama , Onyango , Ntibanzoka...:..banda etc etc.... hivi unawezaje kuwaza kutoboa kimataifa na wachezaji kama hawa . Haiwezekani..... tumewatumia hawa muda wote hawajawahi kutuvusha..... tulione hili


Kuna mtu yoyote anajua kwanini Sub ya Phiri imechelewa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…