tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Mdo ipo hivo automatically mkuu,mshindi wa hapa anakutana na mshindi wa kati ya mamelod na ile timu ilopigwa 4 na mamelodNa miye naomba apangwe naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdo ipo hivo automatically mkuu,mshindi wa hapa anakutana na mshindi wa kati ya mamelod na ile timu ilopigwa 4 na mamelodNa miye naomba apangwe naye
Atawapa nani level zenu ni Rivers United na TP MazembeWananchi tupewe far rabat tuka safishe jina la nchi .hawa mbwa wame chafua
Wydad hawezi chomoka kwa Mamelod, na atapigwa nje ndani.Atachezea nyingi sana huyu Wydad.
View attachment 2603159
Ayseee...[emoji1]Hongera makolo kwa kutetea kombe lenu la robo fainali
Haswaaaah, iko siku na sisi tutaingia Semi final.Shirikisho mwaka huu kuna team za hovyo wengi wageni wa mashindano Huyu Wydad Ana miaka mitano mfululizo anaingia nusu fainali sio team ndogo hii tena wakiwa kwao hakika tumepambana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Wananchi kuwajibu makolo saivi ni sawa na utovu wa nidhamu ..Atawapa nani level zenu ni Rivers United na TP Mazembe
[emoji17][emoji17]
Niliichukia penalty toka Fainali za Kombe la Dunia tulichofanywa Team France.!![emoji119]
Hakuja kitu km hicho Mama hana pesa za kuchezea 15 kwa kipi ?Hivi hata mabao ya matuta nayo ni robota tano tano za mama? Sielewi hapo; Simba watapata robota 15 za ziada kabla ya kuaga mashindano haya.
Upumbavu na utopolooo.Ujinga na umbumbumbu.
Mbappe kakuliza ?usinikumbushe that day nililia badae nikajiona mjinga
Ila it's ok, wamejitahidi sanaBendera leo iko matopeni
Dhidi ya team zipi?Simba robo fainali ndio uwezo wao na kikomo chao.
Shabikia Arsepimbi au Cheshii kamwe hutajuta kula bata...[emoji23]Sijui niache kushabikia mpira wa hasa hizi timu za hapa nyumbani na Afrika nzima [emoji34] inauma sana
Kwani nyie mtaingia semi final CAFCL au CAFCC?? hebu nambie .Acha kujifariji na kipigo mlichopata na kutolewa nje ya mashindano.