mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
- Thread starter
- #41
Wapigweeee[emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]Nasemaje Simba wapigweeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapigweeee[emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]Nasemaje Simba wapigweeee
Mkuu hayo ni matamanio Yako, ni kama Mashabiki wa arsenal walivyokuwa wakitamani kumfunga City Jana. Ila uhalisia unaujua[emoji23][emoji23]Utabiri wangu:
Wydad 2-1 Simba
Aggregate: 2-2
Simba watafuzu kwa goli la ugenini
Rage[emoji3581]Wewe jamaa bila shaka hata wakati wa kinyunduana na bibieh utakuwa unamwaga wazungu within zero minutes [emoji16][emoji16]
Maana sio kwa kiherehere hichi[emoji706][emoji706][emoji419]
Unaotawe dadaSimba 2-1wydad
InshaAllahTutafia uwanjani ila nusu fainal lazma.
Prediction:wydad 1-1 simba..[emoji123][emoji123]
Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Huwa Wana viherehere sana kufungua Uzi mechi zisizo wahusu, ngoja nasisi Leo tuwakomesheNaona Mwarabu feki azma ya nyuz umefanikisha
Kila la kheri Waydad jinyongeeni huyo dunduka muwezavyo
Leo ndio mtaamini kuwa uchawi upoo[emoji23][emoji23]Wanathiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaa[emoji350][emoji350]
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa, Ile siku iliyosubiliwa Kwa hamu na waarabu wote hatimaye imefika..
Ni siku ya hukumu kwa mnyama Simba
Ni siku ambayo taifa la Tanzania linaenda kupata aibu kwa kipigo kizito watakachoenda kushushiwa Simba na waarabu wa Morocco.
Mwana kulitafuta mwana kulipewa, mtoto akililia wembe mwache umkate,
wameingia cha kike eeh waaah!!!
Kuwa nami mwarabu feki upate kile kitakachojiri pale katika Dimba la Mohamed V (machinjioni) Jijini Casablanca...
Mechi hii ya kukata na shoka itaanza majira ya saa 3:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki na itarushwa na Azam Sports kupitia Channel ya ZBC2
Kaa nami mwanzo Mwisho......
Rest in peace Simba[emoji3545]
View attachment 2601876View attachment 2601877
Eeh si kama huuLeo ndio mtaamini kuwa uchawi upoo[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Eeh si kama huuView attachment 2601910
Acha ujinga
Ragge hana guarantee ya kuhalalisha tabia za watu...tuko pamoja mwarabu feki?Rage[emoji3581]
Rage[emoji3581]Ragge hana guarantee ya kuhalalisha tabia za watu...tuko pamoja mwarabu feki?