FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

FT: Wydad Casablanca 1-0 (Penati 4-3) Simba S.C | CAF Champions League | Simba yaondolewa kwa mikwaju ya penati

Wewe jamaa bila shaka hata wakati wa kinyunduana na bibieh utakuwa unamwaga wazungu within zero minutes [emoji16][emoji16]

Maana sio kwa kiherehere hichi[emoji706][emoji706][emoji419]
Rage[emoji3581]
 
Wanathiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaa[emoji350][emoji350]
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa, Ile siku iliyosubiliwa Kwa hamu na waarabu wote hatimaye imefika..
Ni siku ya hukumu kwa mnyama Simba
Ni siku ambayo taifa la Tanzania linaenda kupata aibu kwa kipigo kizito watakachoenda kushushiwa Simba na waarabu wa Morocco.

Mwana kulitafuta mwana kulipewa, mtoto akililia wembe mwache umkate,
wameingia cha kike eeh waaah!!!

Kuwa nami mwarabu feki upate kile kitakachojiri pale katika Dimba la Mohamed V (machinjioni) Jijini Casablanca...

Mechi hii ya kukata na shoka itaanza majira ya saa 3:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki na itarushwa na Azam Sports kupitia Channel ya ZBC2

Kaa nami mwanzo Mwisho......
Rest in peace Simba[emoji3545]
View attachment 2601876View attachment 2601877
Leo ndio mtaamini kuwa uchawi upoo[emoji23][emoji23]
 
Leo ndio mtaamini kuwa uchawi upoo[emoji23][emoji23]
Eeh si kama huu
hqdefault(4).jpg
 
Kila la kheri wenyeji, nawaombea mshinde 10!

ثلاث دقائق الهدف الأول
الهدف الثاني ثماني دقائق
خمس عشرة دقيقة الهدف الثالث
الهدف الرابع في الدقيقة العشرين
الهدف الخامس في الدقيقة الثلاثين
الهدف السادس في الدقيقة الأربعين
الهدف السابع في الدقيقة السابعة والأربعون
الدقيقة الستون الهدف الثامن
الهدف التاسع وسبعون دقيقة
الدقيقة الرابعة والثمانون الهدف العاشر
 
Back
Top Bottom