Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wana laana hao na nguo zao.View attachment 3205407
Wakaibe kuku kama kale kamsemo kao guda achia
Wachinje pakaSimba tufanye mpango tuwanunulie Yanga ng'ombe ili wanywe supu wapooze hasira.
Nakuunga mkonoKwa mpira huu Yanga angeenda kufanya nini robo fainali, Wamestahili kuishia makundi
Sijui walifata nini kina mama hawaWalisemaga kuwa ni mashindano ya wanamume au macho yangu
Achilia mbali kwenda naeHaya mambo ya kuokota wachezaji tuliwaonya sana. Hivi Lucky Dube ndo wakwenda naye CAFCL?
Acha nongwa πππKwangu ni kama mpira ndio unaanza. Tutakesha humu jamvini
HunishindiNimefurahi sana
NyooooTukishinda tunakuwa na points 39 tunakuwa nafasi ya 5View attachment 3205415
Kama upo karibu na mwana Yanga kuwa makini maana wana hasira sana.Wachinje paka
Mtu yeyote ambaye hayupo kwenye mashindano ya kimataifa ni mkunja ngumiTsh uran Scars Kalpana DR Mambo Jambo OKW BOBAN SUNZU Kiweriweri Mac Alpho uran naombeni mnisaidie kumjibu huyu jamaa.