FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Game plan ya mwarabu leo ni kupoozesha mpira na kutumia vizuri nafasi chache zitakazopatikana.

Pacome alitakuwa kuanza maana jamaa kiulinzi watakuwa tight sana, unahitaji mtu mwenye uwezo wa kupenya. Wakija kumuingiza baadae itakuwa wamechelewa.
 
Nawaona mashabiki wenye nchi yetu wakiwa na hamasa ya kushangilia ushindi
 
Utopolo akishinda leo namuoa cocastic
 
Sina BAYA na Yanga

Lolote liwakute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…