FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Kumbe ni wizi wa kuku
IMG-20250118-WA0000.jpg
 
🏊🏊🏊🏊🏊🏊 kwenda USA kucheck madhara Ya nyumba Yangu ilioungua moto - Nilijenga kwa Tabu Sana kwa Hela za Unyanganyi, Uporaji, Ufisadi, UONGO wa Kuwabambikia kesi Simba kuwa hawajafuzu

Screenshot_2025-01-18-14-45-01-26.png
 
Sawa. Safari njema. Swali la nje ya mada:
Sasa ndugu kama
"Huna milioni 30", je, unazo ngapi?
Mie Ni CHINGA nina Flemu nachukia WATEJA na Namiliki HELCOPTA pale Mwenge Jiulize hela Hapata Wapi... Nikimuona tu mteja Nampa Ugonjwa


🏊🏊🏊🏊🏊🏊 kwenda USA kucheck madhara Ya nyumba Yangu ilioungua moto - Nilijenga kwa Tabu Sana kwa Hela za Unyanganyi, Uporaji, Ufisadi, UONGO wa Kuwabambikia kesi Simba kuwa hawajafuzu



Screenshot_2025-01-18-14-45-01-26.png
 
Kazi kufukuza makocha afu mnaleta kocha sijui side wawap yule

kupangilia wachezaj hawez

Gamondi angeemda makundi na hii timu

Nyau nyie
 
Mwakan msajili wazeee na akina dube wengine

Nyau nyie.. badala mfate viwango uko mnatuletea Dube anakaa dak 90 mech za maamuzi
Pole kiongozi siku nyingine muwe na adabu😆😆😆
 
Kuna shabiki nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu😂😂😂
 
Back
Top Bottom