FT: Yanga 0-1 Azam | VPL | Benjamin Mkapa | April 25, 2021

Mtaalaam wa free kiki aliyepokelewa na nderemo na vifijooo anapigaaa free kick
 
Dakika ya 24, yanga wanaanzia nyuma
 
Wadada, anatumbukizaaaa wanakosaa Azam
 
Lyanga ... anachezaa fyongo... dk ya 25
 
Azam wanapoteza Sana nafasi yaani saizi wangekuwa mbele kwa magoli mengi sana
 
Midfild za Azam zimetulia, wanaweza kupata namba kikosi bora cha Afrika Simba.
Umaliziaje tu ndo shida.
 
Carinho...saidooo ... sapongooooooooo anakosaaa dk ya 29
 
Ninja, kwa Sogne .. Mukoko .... wanapotezaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…