Hahahaha hii game kama maigizo tu.
Mi nilitaka nilipie lakini nikasema ngoja niskizie upepo kwanza kipindi cha kwanzaKwa kweli buku yangu ya kibanda uzima ni hasara tu
Tanzania yote?Azam wakipata goli tu nakata umeme
Hii mechi kwa wazee wa beting ni muhimu kuitazama ili tarehe 8 tujue tutampa Simba goli ngapi atashinda.Mi nilitaka nilipie lakini nikasema ngoja niskizie upepo kwanza kipindi cha kwanza
Majuto yenu yamenifanya nione nilikua sahihi na siendi ntasikiliza audio tu
UwanjaniTanzania yote?
Au nisiende nini?mpira hauvutii... ata kidogo