Shikalo kasimama tu anaingalia inagonga mwamba.Naskia ngoma imegonga mwamba huko
Baada mpaka half time amjafungwa ndo mnajitokeza sasa.Kikosi cha matusi cha Mikia kimevamia mitandao utafikiri timu yao inacheza mbona wao walinusurika kwa Gwambina
Hiyo tarehe 8 sisi sio azam hatupigi off target wala mwamba ni nyavu tuShikalo kasimama tu anaingalia inagonga mwamba.
Moto wa nini wakati kileleni kule ni baridi mwanzo mwisho?Kucheza anacheza Azam wanaopata moto Mikia fc.
anagawa kadi tu, ni kama anachezesha rede watu wasigusaneHuyu kayoko fala sana inaonekana amekuja na matokeo yake mfukoni
Huna ubavuUwanjani
Mpaka dakika 90 zinaisha tutashuhudia mengi ya kutisha humu