FT: Yanga 1 - 0 Coastal Union | NBC Premier League | Azam Complex | 27. 04. 2024

Hivi vitoto vya coastal union vinajifanya kuikamia sana yanga
 
TFF wameipendelea Yanga
 
Tuachane na hizi mechi za mbeleko,Sasa Kujeni Kuona Soka La Fainali

Haya mambeleko sometimes yanatuchosa
 
Wachambuzi wa Azam wanasema Ile ni clear Red card ♦️
Lakini wamesema yule beki hakuwa mtu wa mwisho.......
#may be
 
Tuachane na hizi mechi za mbeleko,Sasa Kujeni Kuona Soka La Fainali

Haya mambeleko sometimes yanatuchosa
Kweli Simba fans ni mbumbumbuu..,yaani ww umepigwa nje ndani ya Yanga alafu unapata wapi guts ya kuuandika huu uupuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…