Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
GooooooooolJoseph Guedowski ⚽️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GooooooooolJoseph Guedowski ⚽️
mpaka na majini yaan mpka msemeAma Kweli GSM amedhamiria, utake usitake Kwa kadi nyekundu,Penati ,offside Lzm ufungwe tu
Kivili?Refa ameharibu mechi
Kwahiyo wewe ulitaka Azizi Ki alivyokuwa mbele anaenda kufunga, mtu anamvuta jezi tokea huko aachwe tu sio? Acha mahabaAma Kweli GSM amedhamiria, utake usitake Kwa kadi nyekundu,Penati ,offside Lzm ufungwe tu
KaitengenezeRefa ameharibu mechi
Afadhali aisee; nimeaza kupumua sasa kwani kihoro kilikuwa kimeshanipanda hadi kooni kuwa droo nyingine inakuja.tayari
ri
Naongelea mabango yote ya kuisimanga Simba ya mashabiki wengi wenye hela ilhali ninyi ni akina pangu pakavu tia mchuzi 😁Bro unaongelea lile bango la 7-2?
Kumbe mashabiki wa Simba ni mbumbumbu kiasi hiki? Mechi ya Simba na Mashujaa kombe la FA mchezaji wa Mashujaa alipewa kadi nyekundu mapema kabisa cha kwanza. Vipi aliharibu mechi?Refa ameharibu mechi
Leo tushafunga au bado? 😹😹😹😹Naongelea mabango yote ya kuisimanga Simba ya mashabiki wengi wenye hela ilhali ninyi ni akina pangu pakavu tia mchuzi 😁
Tumekusikia nguruwe fcNamna hii, mkitolewaga na Mamelod msiwe mnalia lia...
Ushindi wa mchongo mchongo Lzm mpasuke mkikutana na timu kama Mamelod
Kwani ni ngapi ngapi huko?Leo tushafunga au bado? 😹😹😹😹
Nkuulize wewe shabiki wa simba ambae 60% ya brain yako iko occupied na yanga 🤣🤣🤣🤣🤣Kwani ni ngapi ngapi huko?
Nilikwambia.Afadhali aisee; nimeaza kupumua sasa kwani kihoro kilikuwa kimeshanipanda hadi kooni kuwa droo nyingine inakuja.