Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Bro unaongelea lile bango la 7-2?Kamchoro tu hako, mashabiki wa simba ni akili kubwa kuliko wale utopian amphibians wasambazaji wa mabango.
Huwezi mkuta milionea anahangaika kusambaza mabango, Ila kina zero brain ndio wahangaikaji π
Wanachungulia tu kwa mbaliUnadhani hawapo hapa? Nawaona wanatype lakini sioni post zao ππ
Haujaona alivyomvuta shati,na alikua na njanoKuna haja ya kadi nyekundu hapo au ni upuuzi wa siku zote?
we unaonajeKuna haja ya kadi nyekundu hapo au ni upuuzi wa siku zote?
Ni kwasababu alikuwa ni mtu wa mwisho. Au mpira umeanza kufatilia juzi?Kuna haja ya kadi nyekundu hapo au ni upuuzi wa siku zote?
Kweli? Basi ngoja nisubiri.Goli lipo, subiri uone.
Wewe unasemaje? Toa maoni yako maana unajua sana.Kuna haja ya kadi nyekundu hapo au ni upuuzi wa siku zote?
riKweli? Basi ngoja nisubiri.
Naona kihoro kimeshaanza kunisumbua
Hamna jamboChumaaaaaaaaa..... β½οΈ Guedowski πππ