FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

Natamani sana mechi kama hii, Makambo acheze kama standing striker halafu Mayele acheze free role
Uko sahihi kabisa! Makambo na Mayele wakianza pamoja kwenye hii mechi, uhakika wa ushindi ndani ya dk 90 ni 100%.

Ila kama litawaanzisha watoto wadogo kama Dennis Nkane, basi itatulazimu kwenda mpaka matuta.
 
Uko sahihi kabisa! Makambo na Mayele wakianza pamoja kwenye hii mechi, uhakika wa ushindi ndani ya dk 90 ni 100%.

Ila kama litawaanzisha watoto wadogo kama Dennis Nkane, basi itatulazimu kwenda mpaka matuta.
Kila siku huwa naliona hili,mabeki wapambane na Makambo, Mayele anateleza tu
 
Kila siku huwa naliona hili,mabeki wapambane na Makambo, Mayele anateleza tu
Bahati mbaya Makambo ni kama mtoto yatima pale Jangwani! Yaani watoto ambao bado wana muda mwingi wa kujifunza, wanapewa nafasi mara kwa mara! Yeye anatengwa.

Jambo hili halifurahishi hata kidogo. Mayele siyo mchezaji wa mikiki mikiki kama Makambo! Hivyo mafanikio yake katika mechi ngumu ikiwemo hii ya leo, yalitegemea sana uwepo wa Makambo pale mbele!
 
Halafu muanze kulia lia maisha magumu. Wenzio wanaota ndoto kama anajenga ghorofa. Nyie mnaota simba tu. Alfajiri kabisa unafungua tred,il-hali mechi ni jioni. Unawaza na kuota simba tu.
 
Halafu muanze kulia lia maisha magumu. Wenzio wanaota ndoto kama anajenga ghorofa. Nyie mnaota simba tu. Alfajiri kabisa unafungua tred,il-hali mechi ni jioni. Unawaza na kuota simba tu.
Alie anzisha thread ni kolo mwezanko
 
Bahati mbaya Makambo ni kama mtoto yatima pale Jangwani! Yaani watoto ambao bado wana muda mwingi wa kujifunza, wanapewa nafasi mara kwa mara! Yeye anatengwa.

Jambo hili halifurahishi hata kidogo. Mayele siyo mchezaji wa mikiki mikiki kama Makambo! Hivyo mafanikio yake katika mechi ngumu ikiwemo hii ya leo, yalitegemea sana uwepo wa Makambo pale mbele!
Nikweli kabisa,Kocha tangu mwanzo wa season rotation Kwa Makambo haikumuhusu kabisa,sawa Mayele ni top,ila angalau ilitakiwa apate game time hata dk 20 hivi....... binafsi naamini bado anauwezo japo saizi amepoteza konfidensi
 
Ahlan Wasahlan wana JF

Ni mtanange wa kukata na shoka baina ya Yanga Vs Simba katika nusu fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho la Azam ndani ya dimba la CCM Kirumba jijini Mwanza.

Ni mchezo unaozikutanisha timu mbili zenye mafanikio zaidi katika soka la Tanzania. Mara ya mwisho kwa timu hizi kukutana katika michuano hii ni msimu uliopita katika fainali ambapo Simba ilitwaa taji hilo kwa ushindi wa 1-0 pale mjini Kigoma.

Yanga itashuka dimbani ikihitaji kulipiza kisasi lakini pia kujaribu kutwaa ndoo hiyo pamoja na ndoo ya Ligi Kuu kwa pamoja huku Simba wakishuka dimbani kujaribu kushinda ili walau wapate taji la kufutia machozi msimu huu.

Mshindi wa mechi hii atakutana na mshindi wa mechi ya Azam Fc Vs Coastal Union katika mchezo wa Fainali utakaopigwa jijini Arusha baadae mwaka huu.

Huu ni mchezo ambao lazima mshindi apatikane. Hivyo hakutakuwa na droo.

Kutokana na uwanja wa CCM Kirumba kutokuwa na taa, mechi itapigwa saa 9:30 alasiri hivyo wapenzi na mashabiki mnakumbushwa kuwahi uwanjani na kwenye vibanda umiza.

Mchezo huu utakujia live kupitia Azam Sports 1HD na updates zote utazipata hapa usicheze mbali...
asante kwa taarifa
 
Bahati mbaya Makambo ni kama mtoto yatima pale Jangwani! Yaani watoto ambao bado wana muda mwingi wa kujifunza, wanapewa nafasi mara kwa mara! Yeye anatengwa.

Jambo hili halifurahishi hata kidogo. Mayele siyo mchezaji wa mikiki mikiki kama Makambo! Hivyo mafanikio yake katika mechi ngumu ikiwemo hii ya leo, yalitegemea sana uwepo wa Makambo pale mbele!
Bora aanze Chico anaweza akakufuniga goli la kichwa kuliko mchezaji anaeshindwa hata kulenga gol..
 
Nikweli kabisa,Kocha tangu mwanzo wa season rotation Kwa Makambo haikumuhusu kabisa,sawa Mayele ni top,ila angalau ilitakiwa apate game time hata dk 20 hivi....... binafsi naamini bado anauwezo japo saizi amepoteza konfidensi
Haha acha kutudanganya wewe jamaa
Makambo amecheza na Rivers utd...home na away tena dk zote 90.
 
Kila siku huwa naliona hili,mabeki wapambane na Makambo, Mayele anateleza tu
Hapo lazima kiungo mmoja apungue ili wachezaji wabaki 11 uwanjani vinginevyo watakuwa 12. Sasa akishapungua kiungo ndio uzungumze kitakachotokea
 
Back
Top Bottom