FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

FT: Yanga 1-0 Simba| Azam Sports Federation Cup| CCM Kirumba, Mwanza

Matokeo yoyote sawa ili mradi Mayele asiteteme!!! Si kwa ushangiliaji ule, ile ni dizaini ya waganga wa kienyeji!! Hatutoruhusu mwanya kwa Mayele kufanya uganga wa kienyeji pale!! Ktetema ni uganga wa kienyeji!!
 
Yanga 4-1 Simba
Yanga analipiza kisasi mara tatu.

1. Nusu fainali ya 4-1
2. Uteja wa kufungwa ASFC
3. Kupoteza makombe yote last seasons

Tuktane saa 12 hapa.
 
Hapo lazima kiungo mmoja apungue ili wachezaji wabaki 11 uwanjani vinginevyo watakuwa 12. Sasa akishapungua kiungo ndio uzungumze kitakachotokea
Yeah,winga moja inakufa.......haiwezi kuathiri chochote 3-5-2........
 
Kila la Kheri Mnyama
-679188381866516060.jpg
 
huu msimu magoli kwa simba na yanga ni hakuna naona penati hapa.
 
Back
Top Bottom