joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hawa wapuuzi wanatuvizia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnyama yupi huyu aliye kula tano mbele ya yanga
Achana na Tanesco hawajielewi watakupa presha ya Bure.Sijui TANESCO huwa wanafikiri kwa kutumia kiungo gani!
Unakata umeme saa 1 jioni/usiku unaurudisha saa 4 usiku.
Hiyo akili au tope!
hahahahahaMimi simjui huyo unayemuongelea wewe!
kweli mkuu na nyau atashinda huko botswanaMatokeo ya jumla. Yanga atapigwa bao
nilijua kazimia dadeekazizi ki anapiga kitu bwege ana tenga mbavu atajuta
hawezi kurudia tena kutenga mbavunilijua kazimia dadeek
[emoji3][emoji3][emoji3] ngoja tuone baada ya dk 90 kama kweli wanajuaYanga wanajua jamani
Yanga si wa kufa kwa Al-ahly ninyi mnakufa kwa Ihefu tu. Mmeshasema mnawapiga [emoji2772] hofu ya kifo inatoka wapi tena mpaka unaomba Mungu?Mungu atusaidie tusife nyingi tu? Ila kufa leo Yanga lazima tufe..tunapasuka vizur tuu
unacheki marudio ya galaxy nn unasemea shuti la chama mkuu ile imesha pita achana nayoAaah mamamake tumewakosa hawa vibweka
Makolo naona mnagombana [emoji16]Yanga si wa kufa kwa Al-ahly ninyi mnakufa kwa Ihefu tu. Mmeshasema mnawapiga [emoji2772] hofu ya kifo inatoka wapi tena mpaka unaomba Mungu?