Mechi mbili point 1. Away kichapo nyumbani sare
Mechi mbili pointi 2. Away sare nyumbani sare.
Mwenye point mbili analazimisha furaha na kujiona ana matumaini kuliko mwenye point 2
Yeboyebo kipa wanae aisee nimekubaliDiarra anacheza afrika, de gea kazaliwa spain
Yamekuwa hayo tenaIla nafasi ya mwisho kundini inawahusu
Makolo sijui yapo hali gani sasa kama nayaona vile jinsi yalivyoumbuka huku timu lao halina matumaini mechi walipania Yanga ifungwe wapate kujipoza machungu🤣🤣🤣🤣🤣😂Walishaandaa vibonzo vya kutucheka tumefungwa, haya vicheni vibonzo vyenu sasa hii ndiyo YANGA .
Hahaha watakujia na msuli hawa. Kuna comment yako nimecheka sana unawaambia uto wameenda na msuli wakati ndio udhaifu wa mwarabu 😂😂Ila nafasi ya mwisho kundini inawahusu
Kwa sasa hata kupata sare nyumbani sio kitu kidogo maana soka imebadilika sana.Dah! Malengo yetu ya leo hayajatimia mpira ulikua mgumu kwetu. Lakini nafasi bado tunayo
Mmeaanza lini kutoa sare ninyi si mna uwezo kumfunga yeyote?Mliotaka tufungwe kiko wapiiiiii[emoji23][emoji172][emoji169]
Limeniuma sana lile goli🤣🤣🤣 Hilo Goli alaumiwe Mwanyeto.
Amefanya uzembe ukaigarimu timu.
Nanyie Malalamiko FC. tulieni Wazee wa Fukuza fukuzaMa Gongo wazi leo wanakenua Drooo...muda si mrf walitoka kutunanga..
Kweli nyie ni Hamnazo FC....
Imeisha hyooo
Mi sija reply post yenye swali
Kwa Mkapa unetoa sare, mechi mbili una pointi moja.
Unaona fresh kupata pointi moja kwenye uwanja wa nyumbani?
Uto kipa wanaye. Posho za leo wote wampe kipa kawaokoa.Yeboyebo kipa wanae aisee nimekubali
Uzuri wa Yanga sio Makolo hawana cha nyumbani wala ugenini kokote ni sawa ikitokea kafungwa ni ajali kazini.Mi sija reply post yenye swali
Kwa Mkapa unetoa sare, mechi mbili una pointi moja.
Unaona fresh kupata pointi moja kwenye uwanja wa nyumbani?
Walitaka tufungwe ili wajifariji kuwa wao walicheza na giant mwenzao wakadrooMakolo sijui yapo hali gani sasa kama nayaona vile jinsi yalivyoumbuka huku timu lao halina matumaini mechi walipania Yanga ifungwe wapate kujipoza machungu🤣🤣🤣🤣🤣😂