Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni kwa ushindiWalishaandaa vibonzo vya kutucheka tumefungwa, haya vicheni vibonzo vyenu sasa hii ndiyo YANGA .
Nimeona marudio ya goli sasa rasmi nasapoti kwamba Mwamnyeto ni Maguire wa Tz.
Sasa kwa nini mmetoa draw nyumbani?Uwanja wa nyumbani ni LAZIMA ushinde
Hongereni kwa ushindiMakolo sijui yapo hali gani sasa kama nayaona vile jinsi yalivyoumbuka huku timu lao halina matumaini mechi walipania Yanga ifungwe wapate kujipoza machungu🤣🤣🤣🤣🤣😂
Sasa ulinganishe Asec na Ahly.
Wakati mwingine jitahidi kuwa na akili timamu
Mwamnyeto alitaka kuigharimu timuYanga haja ya chukulia poa ila kuna kosa moja Yanga kalifanya ni kucheza kwa tempted aliyo iset Al Ahly basi. Hapo ndipo Al Ahly walipo wapatia Yanga.
Wenzetu ukiwaona ni watu ambao mipango yao ya mazoezini wanajua kuimplement kwenye mechi.
Simba Bado Wana mechi zote 4 Wana uwezo wa kushindaNyie mmebakiza ngapi yaani unajipa moyo kwa matokeo ya Yanga.
Uzuri kwamba hakuna kolo hata mmoja kiwango cha Makande anayeiamini timu yake ,yaani litimu liko papatupapatu halina matumaini ila Yanga atapigwa wote labda Al Ahly atabahatisha sare Cairo.Tulia mr utopwox...jioni ya leo ulikua unakenua...subiri tukicheke na sisi..tulisubiri hyo hyo drooo...
Kiko wapiii...kiko wapi?
Sasa kwa nini mmetoa draw nyumbani?
Tuache sisi tuna kikosi kipana na hili kombe ni letu msimu huu.Ila yanga wanapaswa kubadilika hasa kwa kuweka mikakati mizuri ya ushindi hasa mechi za nyumbani, Hii ligi ni ngumu sana. Kama tunataka kusonga mbele lazima tuache kuyachukulia poa haya mashindano tunaacha kuweka mikakati thabiti ya ushindi tunakomaa na kina tabulele.
Malalamiko FC ni jina halisi la Yanga, ushingae leo ukiwasikia wanasema Refa alikuwa anawapendelea waarabuNanyie Malalamiko FC. tulieni Wazee wa Fukuza fukuza
Wenzetu kipindi cha pili walibadilika ili hali sisi tukacheza vile vile, goli limetuzindua usingizini uwezo binafsi wa pacome umetuokoaMmeanza kumlaumu kocha sasa!
Kolo wao sare na kufa kiume ni ushindi refer mechi zake na Al Ahly na kufa kiume ,lakini kwa Yanga ni pigo kubwa atajiandaa kutoa full dozi.Hongereni kwa ushindi