FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

Maiti kacheua
20231202_200605.jpg

Mke na mume
 
Uzuri wa Yanga sio Makolo hawana cha nyumbani wala ugenini kokote ni sawa ikitokea kafungwa ni ajali kazini.

*Medeama atapigwa kipigo kukubali nje ndani.
*Mualgeria atapigwa kwa Mkapa.
*Al Ahly kidogo anaweza kubahatisha kutoa sare Cairo .

Medeama usichukulie kiwwpesi.
 
Diarra amepambana Leo Hata goli amefungwa kwa kosa la mwamnyeto .
Gamondi alipaswa kumtoa aziz ki , nzengeli abaki uwanjani .
Nzengeli alivyotoka kasi ilipungua
Goli la Pacome ni Kama World Cup bonge la bao .
Waarabu weusi walianza kushangilia jukwaani .
 
Anha hapo nmekuelewa

Kumbe huongei football unaongea utani wa jadi?
Kama ni hivyo twende kwenye utani wa jadi

Ni kweli kutoa sare uwanja wa nyumbani sio swala zuli
Uwanja wa nyumbani ni LAZIMA ushinde
Yaani LAZIMA[emoji3][emoji3]
Utani wa jadi kwasababu umeona ni matokeo ambayo yapo hadi upande wako?

Na sio tu kiutani bali hata kwa statistics tu.

Hata hao wanaopanga odds kwenye kampuni za kubeti hawapangi kwa kuangalia eti mpira una maajabu yake.

Wanapanga kwa kuangalia takwimu, na takwimu zinaanzia kwenye ubora wa kikosi, ubora wa kikosi unaamuliwa kwa Quality ya wachezaji.

Kupata Quality kubwa ya wachezaji ni lazima ufanye investment ya maana.

Sasa ukiangalia tu katika hilo utaona advantage inaenda kwa nani.

Njoo kwenye uzoefu wa mashindano.

Kikosi chenu chote hakina mchezaji ambaye amecheza Club bingwa na kufika walau hata robo fainali. Kama yupo nikumbushe.

Simba anaweza akawa na matumaini ya kushinda ugenini kuliko Yanga kushinda Cairo mbele ya Al Ahly.
 
Mulizani ligi ya vipielo utopwinyo wavaa musul chukuchuku

Daaa Kaka inatosha Kaka… Jina Tuu la Utopolo linatuumiza mnooo na Kukera sanaaa wana Yanga,
Angalau Manara kuja Yanga ilikuwa kutuondolea Machungu,Sasa wewe umeingeza Eti Utopwinyo[emoji30][emoji30][emoji30]🥲
Daaa Tuonee huruma Kaka…Utopolo linatutosha Kaka…
Daaa eti utopwinyo!!! Inauma basi tuu…
 
Uzuri kwamba hakuna kolo hata mmoja kiwango cha Makande anayeiamini timu yake ,yaani litimu liko papatupapatu halina matumaini ila Yanga atapigwa wote labda Al Ahly atabahatisha sare Cairo.
Hahahaha unazidi kuonyesha akili umezisahau ndani...yani apige wote wakati kashapigwa 3 kwa 0..au unamaanisha nini...kumbe saaa akili zimewakaa sawa kuwa mnacheza na giant team ya Africa mpk mnaombea sare..waulizeni Simba huwa wanawafungaje...
 
Simba Bado Wana mechi zote 4 Wana uwezo wa kushinda
Kwa hiyo hii timu yako ambayo mpaka sasa hata mentality yao haiko sawa.

Yaani unavyo zitia ugumu mechi za wenzako kwa hiyo Yanga hizo mechi nne hawezi shinda.

We timu imechoka physically na mentally, mechi ya leo kipindi cha kwanza kilikuwa chenu, sasa mnacheza na Wydad mechi mbili mfululizo.

Nawashauri baada ya kumleta kocha, mleteni mwanasaikolojia atakeye ongea na mchezaji mmoja mmoja kurudisha confidence uwanjani. Timu haijiamini unaipigia hesabu ya kushinda mechi nne......... tupo hapa na tutakumbushana.
 
Utani wa jadi kwasababu umeona ni matokeo ambayo yapo hadi upande wako?

Na sio tu kiutani bali hata kwa statistics tu.

Hata hao wanaopanga odds kwenye kampuni za kubeti hawapangi kwa kuangalia eti mpira una maajabu yake.

Wanapanga kwa kuangalia takwimu, na takwimu zinaanzia kwenye ubora wa kikosi, ubora wa kikosi unaamuliwa kwa Quality ya wachezaji.

Kupata Quality kubwa ya wachezaji ni lazima ufanye investment ya maana.

Sasa ukiangalia tu katika hilo utaona advantage inaenda kwa nani.

Njoo kwenye uzoefu wa mashindano.

Kikosi chenu chote hakina mchezaji ambaye amecheza Club bingwa na kufika walau hata robo fainali. Kama yupo nikumbushe.

Simba anaweza akawa na matumaini ya kushinda ugenini kuliko Yanga kushinda Cairo mbele ya Al Ahly.

UKO SAHIHI!
 
Hahahaha unazidi kuonyesha akili umezisahau ndani...yani apige wote wakati kashapigwa 3 kwa 0..au unamaanisha nini...kumbe saaa akili zimewakaa sawa kuwa mnacheza na giant team ya Africa mpk mnaombea sare..waulizeni Simba huwa wanawafungaje...
Namaanisha wote kwa mechi zilizobaki.
 
Sasa ulinganishe Asec na Ahly.
Wakati mwingine jitahidi kuwa na akili timamu
Hauwezi ukalinganisha wala hilo halina mjadala.

Lakini kama hilo tunaweza kukubaliana kuwa Al Ahly ni wakubwa basi kwanini tusikubaliane pia kuwa ni ngumu kwa Yanga kuweza kushinda mechi ya ugenini dhidi ya Al Ahly?

Kwanini hapo tunashindwa kuongea ukweli kuwa Yanga aliyecheza michezo miwili na kupata pointi 1 hawezi kuwa na nafuu kumzidi Simba mwenye pointi 2?
 
Mwamnyeto alitaka kuigharimu timu

Ukiacha kosa hilo nitajie kosa lingine uliloliona
Hilo Mwamnyeto limetokana na kukubali kucheza kwa tempa waliyo iset Al Ahly,ila kama tungeendelea kucheza kwa style yetu ya dk 30 za mwanzo hawa warabu walikuwa hawatoki.

Wenzetu wapo vizuri sana wanajua kucheza mchezo wa kutafuta droo,wanajua kupoozesha mechi na mashambulizi.
 
Back
Top Bottom