Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Sawa..Namaanisha wote kwa mechi zilizobaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa..Namaanisha wote kwa mechi zilizobaki.
Kwani nani mwenye point nyingi kuzidi mwenzieMakolo kuanzia mtoano hadi hapa mlipofikia mlishinda match ipi?
Hawezi mfunga Al Ahly kwake,na anatikwa Ashinde hizo 3 sio kutoa sare yeyote au kufungwa yeyote hapo itakuwa Kwa heri.Kwa hiyo hii timu yako ambayo mpaka sasa hata mentality yao haiko sawa.
Yaani unavyo zitia ugumu mechi za wenzako kwa hiyo Yanga hizo mechi nne hawezi shinda.
We timu imechoka physically na mentally, mechi ya leo kipindi cha kwanza kilikuwa chenu, sasa mnacheza na Wydad mechi mbili mfululizo.
Nawashauri baada ya kumleta kocha, mleteni mwanasaikolojia atakeye ongea na mchezaji mmoja mmoja kurudisha confidence uwanjani. Timu haijiamini unaipigia hesabu ya kushinda mechi nne......... tupo hapa na tutakumbushana.
Kinachowagharimu yanga ni kuingia kwenye ligi ya mabingwa wakiwa na visheni ya kuishiq makundi.
Yani bingwa unaingia katika mashindano na mabingwa wanzako unavision za kufeli. Lengo kuu linatakiwe liwe kuchukua kombe. Hayo mengine yabaki matokeo.
Kwa kikosi hikihiki kikibadilishiwa visheni kinauwezo wa kufunga timu zote za haya mashindano.
Kama mpira unachezwa kwa maneno sawa. Kuongea rahisi shughuli iko uwanjaniHili group bado nafasi ipo kwa Yanga,na medeama Yanga anashinda anaenda nafasi ya pili belouzeid ana ubavu wa kumfunga al ahly kokote kule
Wewe umeongea kitu muhimu sana. Pale ushambuliajini Kuna shidaSafu ya ushambuliaji itaigharimu sana Yanga kwenye mashindano haya.
Simba ugenini ni kibonde wa hatari, alikuwa anapigwa hamsa ugenini anakuja kuchomoa mechi za kwa Mkapa. Simba ya kuchomoa kwa Mkapa ilishaisha sasa imebakia historia. Tofauti ya Yanga na Simba kwenye haya mashindano ni kuwa, wakati Yanga amrshacheza na wababe wote wa group, Simba Simba bado hajakutana nao.Utani wa jadi kwasababu umeona ni matokeo ambayo yapo hadi upande wako?
Na sio tu kiutani bali hata kwa statistics tu.
Hata hao wanaopanga odds kwenye kampuni za kubeti hawapangi kwa kuangalia eti mpira una maajabu yake.
Wanapanga kwa kuangalia takwimu, na takwimu zinaanzia kwenye ubora wa kikosi, ubora wa kikosi unaamuliwa kwa Quality ya wachezaji.
Kupata Quality kubwa ya wachezaji ni lazima ufanye investment ya maana.
Sasa ukiangalia tu katika hilo utaona advantage inaenda kwa nani.
Njoo kwenye uzoefu wa mashindano.
Kikosi chenu chote hakina mchezaji ambaye amecheza Club bingwa na kufika walau hata robo fainali. Kama yupo nikumbushe.
Simba anaweza akawa na matumaini ya kushinda ugenini kuliko Yanga kushinda Cairo mbele ya Al Ahly.
So ww ndio kwa hii timu yako iliyo choka mwili na akili unaweza kupata matokeo kwa Asec na Wydad...... yaani mnavyo zitiia ugumu mechi za wenzenu ,mtazani nyinyi mna timu ya maana.Kumbe mnajitafuta sasa hivi hata hamjielewi.Hawezi mfunga Al Ahly kwake,na anatikwa Ashinde hizo 3 sio kutoa sare yeyote au kufungwa yeyote hapo itakuwa Kwa heri.
Wiki ijayo ni Kwa Madeama
ulikosea kidogo sanaMechi inaisha 1-1 ,half time,full time itaisha mbili moja
We jamaa una akili timamu?Utani wa jadi kwasababu umeona ni matokeo ambayo yapo hadi upande wako?
Na sio tu kiutani bali hata kwa statistics tu.
Hata hao wanaopanga odds kwenye kampuni za kubeti hawapangi kwa kuangalia eti mpira una maajabu yake.
Wanapanga kwa kuangalia takwimu, na takwimu zinaanzia kwenye ubora wa kikosi, ubora wa kikosi unaamuliwa kwa Quality ya wachezaji.
Kupata Quality kubwa ya wachezaji ni lazima ufanye investment ya maana.
Sasa ukiangalia tu katika hilo utaona advantage inaenda kwa nani.
Njoo kwenye uzoefu wa mashindano.
Kikosi chenu chote hakina mchezaji ambaye amecheza Club bingwa na kufika walau hata robo fainali. Kama yupo nikumbushe.
Simba anaweza akawa na matumaini ya kushinda ugenini kuliko Yanga kushinda Cairo mbele ya Al Ahly.
Uzuri kwamba hakuna kolo hata mmoja kiwango cha Makande anayeiamini timu yake ,yaani litimu liko papatupapatu halina matumaini ila Yanga atapigwa wote labda Al Ahly atabahatisha sare Cairo.
Subiri wakati ufike.Kama nyie wanaume katoeni draw na Al ahly pale cairo [emoji23]
Aden Rage ni Genius sana, kwa akili hizi [emoji851]Faulo gani sheikh?
Mchezaji anayepokea mshahara kwenye ATM amfunge kipa anayelipwa mamilion kwa freekick?
Si itakuwa uchuro huo
version? au umemaanisha vision?Umeangalia mpira?
Umeangalia game ya kwanza na hi vizuri?
Kwa uchezaji wa yanga unapata vip ujasili wa kusema hawana version?
Kua na version ni kufungwa pekee?