Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mbwa koko yaani unaita wanadamu wenzio mbwa koko wewe ni kenge kokoImekula kwao kipindi tunafungwa hao mbwa koko wa simba walifurahi kinoma! Kweli Mungu si jf !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwa koko yaani unaita wanadamu wenzio mbwa koko wewe ni kenge kokoImekula kwao kipindi tunafungwa hao mbwa koko wa simba walifurahi kinoma! Kweli Mungu si jf !
Ulikuwa unatakajeAl haly 1 liyanga 1 nimechukia
Mfungwe 2 zeroUlikuwa unatakaje
Hao Al ahly mnawa ovarrate sana!
Tena mbwa koko miwashoMbwa koko yaani unaita wanadamu wenzio mbwa koko wewe ni kenge koko
Kwa mahesabu ya haraka yanga amecheza mechi mbili za fainali ya Caf confederations na Bingwa wa caf confederations cup na caf super cup na kuwa droo na simba amecheza robo ya caf champions league yupi amezidi kimafanikio ??Utani wa jadi kwasababu umeona ni matokeo ambayo yapo hadi upande wako?
Na sio tu kiutani bali hata kwa statistics tu.
Hata hao wanaopanga odds kwenye kampuni za kubeti hawapangi kwa kuangalia eti mpira una maajabu yake.
Wanapanga kwa kuangalia takwimu, na takwimu zinaanzia kwenye ubora wa kikosi, ubora wa kikosi unaamuliwa kwa Quality ya wachezaji.
Kupata Quality kubwa ya wachezaji ni lazima ufanye investment ya maana.
Sasa ukiangalia tu katika hilo utaona advantage inaenda kwa nani.
Njoo kwenye uzoefu wa mashindano.
Kikosi chenu chote hakina mchezaji ambaye amecheza Club bingwa na kufika walau hata robo fainali. Kama yupo nikumbushe.
Simba anaweza akawa na matumaini ya kushinda ugenini kuliko Yanga kushinda Cairo mbele ya Al Ahly.
Ebu niwekee msimamo wa kundi lenu?Simba ndio mbabe kwenye kundi akiwa na Wydad
I-print kabisa mkuuNaiwekea lamination hii reply
Usijeukaikimbia
Wewe kenge koko muwasho shenzi type ya nyongo mkalia sumuTena mbwa koko miwashoooo
Ndo hatujafungwa sasa hutaki kakate rufaaMfungwe 2 zero
Yuko vile vile sema tu amekutana na kilaza.Hii al ahly ya caf champions league imekuja kivingine sio ile ya bonanza la African football league
Yatatu anacheza homeYanga wanaweza kutia aibu aisee maana mechi ya 3 ugenini nayo watapigwa 😂😂
Nimehuzunika sanaNdo hatujafungwa sasa hutaki kakate rufaa
Goli la Pacome ni la dunia. Ni la kipekee sana Hadi CAF wameamua kuwapa pointi 3Diarra amepambana Leo Hata goli amefungwa kwa kosa la mwamnyeto .
Gamondi alipaswa kumtoa aziz ki , nzengeli abaki uwanjani .
Nzengeli alivyotoka kasi ilipungua
Goli la Pacome ni Kama World Cup bonge la bao .
Waarabu weusi walianza kushangilia jukwaani .
Wapinzani Mmeumia kupita Maelezo! Hao warabu koko wamekua overrated sanaWatu wa yanga mnafaa kuwa wife materials mnaburuza mkia kwenye kundi lakini hamjatoa siri.
Acha uzembe ww sisi tuna hesabu zetuYanga jiangalieni nafasi mliyopo kwenye group lenu. Ndio mjue Klabu Bingwa sio Shirikisho, wehu wakubwa nyie
View attachment 2831660
Au sio 😁Nimehuzunika sana
Simba vibonde tu