Bado hamuelewi somo ndio maana mna point 1.Si mlisema mnatufundisha kucheza champion.
Kwani si tumefanya kama mlivyotufundisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hamuelewi somo ndio maana mna point 1.Si mlisema mnatufundisha kucheza champion.
Kwani si tumefanya kama mlivyotufundisha
Kubwa sanaDah! Malengo yetu ya leo hayajatimia mpira ulikua mgumu kwetu. Lakini nafasi bado tunayo
Sasa shida nini hapo sister au kwa kuwa mlikula 5 unajifariji tu? Mbona wamecheza vizuri tena kwa kuiheshimu Al Ahly na wameambulia point? Ulitaka wafanyaje?Punguzeni midomo...vyura nyie
Gamondi kawapeleka makundi ya Cacl baada ya miaka 25 (robo karne) baro unamuona hana mbinu ?Naamini unajua hizi timu kubwa kinachopaswa kukubeba ni mbinu za bench la ufundi, ukizingatia upo home, angalia TP Mazembe leo
Unazijua hesabu za yangaYani mjiandae kisaikolojia kule Misri...
Mkuu, Huu sasa unafiki wa TBC 1 😅Yanga mnabeba hili kombe
Badilisheni tuone...Kinachowagharimu yanga ni kuingia kwenye ligi ya mabingwa wakiwa na visheni ya kuishiq makundi.
Yani bingwa unaingia katika mashindano na mabingwa wanzako unavision za kufeli. Lengo kuu linatakiwe liwe kuchukua kombe. Hayo mengine yabaki matokeo.
Kwa kikosi hikihiki kikibadilishiwa visheni kinauwezo wa kufunga timu zote za haya mashindano.
Hata caf confederations yanga alivyoshiriki hakuweka malengo ya juu alitaka makundi .Hadhi ya mashindano aliyofika fainali Yanga inafanana na mashindano aliyofika robo fainali Simba?
Unaelewa kwanini malengo ya Yanga ni kufika makundi Club Bingwa na sio zaidi ya hapo?
Kweli kabisa hili ni Kilaza [emoji4]Yuko vile vile sema tu amekutana na kilaza.
Yanga Imekamilika mkuu,kwani wewe huoni wakibeba hili kombe? Kikosi kina vijana watupu Tena hatari sio kama Simba yetu ya wazee.Mkuu, Huu sasa unafiki wa TBC 1 😅
Tunamsubiri Simba timu kubwa afrika, kibonde wetu tuondelee kumkonyea vingiBaada ya yanga kuburuza mkia kwenye kundi mna mpango gani na lile likocha lenu lenye bichwa km la nguruwe
Huu sio mpira sasaBaada ya yanga kuburuza mkia kwenye kundi mna mpango gani na lile likocha lenu lenye bichwa km la nguruwe
Kwani shida ni kocha au wachezajiBaada ya yanga kuburuza mkia kwenye kundi mna mpango gani na lile likocha lenu lenye bichwa km la nguruwe
Usiwashtue makolo mbinu zetu.WatalogaUnazijua hesabu za yanga
wacha nikusaidie Madeama tunampiga nje ndani point 6 hizo
Wale waarabu wa mchongo tunawakanda hapa nyumbani
Ahly tutaamua kumpiga au tutoke nae draw kwao
Yanga yuleeee.....
Watu weweee....
Sisi malengo yetu ni huku champions league. Nbc tutapanga kikosi cha watotoTunamsubiri Simba timu kubwa afrika, kibonde wetu tuondelee kumkonyea vingi
Kolokhamsa likiwa linateseka na vitimu underdogs [emoji1]Watu wa yanga mnafaa kuwa wife materials mnaburuza mkia kwenye kundi lakini hamjatoa siri.
Rahisi sana kuongea ila kutenda ni vigumu.Unazijua hesabu za yanga
wacha nikusaidie Madeama tunampiga nje ndani point 6 hizo
Wale waarabu wa mchongo tunawakanda hapa nyumbani
Ahly tutaamua kumpiga au tutoke nae draw kwao
Yanga yuleeee.....
Watu weweee....