FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

Naamini unajua hizi timu kubwa kinachopaswa kukubeba ni mbinu za bench la ufundi, ukizingatia upo home, angalia TP Mazembe leo
Gamondi kawapeleka makundi ya Cacl baada ya miaka 25 (robo karne) baro unamuona hana mbinu ?
 
Kinachowagharimu yanga ni kuingia kwenye ligi ya mabingwa wakiwa na visheni ya kuishiq makundi.

Yani bingwa unaingia katika mashindano na mabingwa wanzako unavision za kufeli. Lengo kuu linatakiwe liwe kuchukua kombe. Hayo mengine yabaki matokeo.

Kwa kikosi hikihiki kikibadilishiwa visheni kinauwezo wa kufunga timu zote za haya mashindano.
Badilisheni tuone...
 
Hadhi ya mashindano aliyofika fainali Yanga inafanana na mashindano aliyofika robo fainali Simba?

Unaelewa kwanini malengo ya Yanga ni kufika makundi Club Bingwa na sio zaidi ya hapo?
Hata caf confederations yanga alivyoshiriki hakuweka malengo ya juu alitaka makundi .

Timu inapoweka malengo ya juu inawapa msukumo mkubwa zaidi wachezaji pasipo na ulazima , ili timu ifanikiwe inatakiwa iwe malengo ya kushinda kila mchezo unaokuja mbeleni .
 
Yuko vile vile sema tu amekutana na kilaza.
Kweli kabisa hili ni Kilaza [emoji4]
JamiiForums-312072181.jpg
JamiiForums-31645776.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Unazijua hesabu za yanga
wacha nikusaidie Madeama tunampiga nje ndani point 6 hizo
Wale waarabu wa mchongo tunawakanda hapa nyumbani
Ahly tutaamua kumpiga au tutoke nae draw kwao

Yanga yuleeee.....

Watu weweee....
Rahisi sana kuongea ila kutenda ni vigumu.

Muda utatoa jibu, tuombe uzima
 
Back
Top Bottom