mtzedi
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 5,983
- 6,171
Anajitoa ufahamu Yanga mechi zilizobaki mnashinda si chini ya goli 5 Kila mechi na kombe mnabeba.Msimu uliopita Manyaunyau SC hamkuchapwa mechi 2 mfululizo kwa Mkapa mechi za awali baadaye ukashinda na kutinga robo fainali za CAFCL?
Kama hujitoi ufahamu kuwa Yanga SC bado ana nafasi ya kufanya vizuri na kutinga robo fainali basi kweli umbumbumbu ni kipaji......[emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app