FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

Msimu uliopita Manyaunyau SC hamkuchapwa mechi 2 mfululizo kwa Mkapa mechi za awali baadaye ukashinda na kutinga robo fainali za CAFCL?

Kama hujitoi ufahamu kuwa Yanga SC bado ana nafasi ya kufanya vizuri na kutinga robo fainali basi kweli umbumbumbu ni kipaji......[emoji847]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Anajitoa ufahamu Yanga mechi zilizobaki mnashinda si chini ya goli 5 Kila mechi na kombe mnabeba.
 
Nakubaliana na wewe kuwa malengo ya Yanga shirikisho yalikuwa ni kufika makundi.

Lakini tukubali kuwa sababu ya wao kupitiliza hiyo hatua ilitokana na wepesi wa wapinzani.

Timu zote mlizocheza nazo zingine ndio kwanza zilikuwa zinatafuta makundi kwa mara ya kwanza.

Na nyingi zilikuwa mwishoni mwa msimamo mwa ligi zao za ndani, Marumo ikashuka na daraja kabisa.

Hilo liliwapa advantage ya kuweza kufika mbali.

Lakini huku kwa wakubwa ni ngumu sana kukutana na opportunity hiyo, nyie hamkuwa wakushangilia sare tena mkiwa nyumbani.
Tp Mazembe ni giant wa afrika , Hata usm algers umeona alichofanya , club Africain ni Bingwa wa zamani wa caf cl

Marumo alishuka daraja lakini league ya afrika kusini ni ngumu sana sababu ya uwekezaji kwahiyo kila timu sio kibonde kama nchi nyingine na gap ya point Kati ya timu na timu wakati mungine ni ndogo na msimu uliopita aliwazidi kaizer na Orlando .

Kwanini caf waiweke yanga top 5 wasiweke raja .
Rank hawaangalii majina makubwa au historia wanaangalia current performance .
 
Baada ya yanga kuburuza mkia kwenye kundi mna mpango gani na lile likocha lenu lenye bichwa km la nguruwe
Aden Rageeeeeeee's voice [emoji23]

5 zikiuma sana chomoa.......[emoji38]

JamiiForums1222824732.jpg
JamiiForums258363410.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tp Mazembe ni giant wa afrika , Hata usm algers umeona alichofanya , club Africain ni Bingwa wa zamani wa caf cl

Marumo alishuka daraja lakini league ya afrika kusini ni ngumu sana sababu ya uwekezaji kwahiyo kila timu sio kibonde kama nchi nyingine na gap ya point Kati ya timu na timu wakati mungine ni ndogo na msimu uliopita aliwazidi kaizer na Orlando .

Kwanini caf waiweke yanga top 5 wasiweke raja .
Rank hawaangalii majina makubwa au historia wanaangalia current performance .
Maana yake unakubali kuwa ligi ya Afrika kusini ni ngumu kuliko shirikisho na ndio maana waliweza kufika nusu fainali?
 
Tulijua hili baada ya King Mayele kusepa, ndiyomaana tulimsajili Konkoni chaguo la pili baada ya kukosa striker chaguo la awali tokana na bei ghali,

Tujikongoje hivyo hivyo tutapofikia ndipo hapo hapo tutapoanza settings za misimu mingine.

Mzize na Musonda ni akina Bahanuzi wachangamfu tu...[emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mlimsaji wewe nanani,? Huna hizo pesa za kumsajili hata nyau wa kwenu
 
Maana yake unakubali kuwa ligi ya Afrika kusini ni ngumu kuliko shirikisho na ndio maana waliweza kufika nusu fainali?
Kila mashindano kocha anakuwa na malengo yake , hatukujua kocha wa Marumo alikuwa na malengo yapi Kama kipaumbele chake .
Vilevile hatujui wakicheza michezo ya league walikuwa na fitness ya Kiwango gani ikiwemo majeruhi , kumbuka walipitia Misukosiku kadhaa ya kubadilisha makocha.

Marumo walimtoa pyramid na pyramid alikuwa mshindi wa pili kombe la fa la misri kwa kufungwa 1-2 na Al ahly !
 
Kila mashindano kocha anakuwa na malengo yake , hatukujua kocha wa Marumo alikuwa na malengo yapi Kama kipaumbele chake .
Vilevile hatujui wakicheza michezo ya league walikuwa na fitness ya Kiwango gani ikiwemo majeruhi , kumbuka walipitia Misukosiku kadhaa ya kubadilisha makocha.

Marumo walimtoa pyramid na pyramid alikuwa mshindi wa pili kombe la fa la misri kwa kufungwa 1-2 na Al ahly !
Unajenga hoja kumaanisha sababu ya Marumo kushuka daraja ni kutokana na malengo ya Club yalikuwa kwenye shirikisho na sio ligi kuu?

Kwamba ikifika mechi za ligi kuu kocha anachezesha kikosi B ili kuifadhi wachezaji wake tegemeo kwa ajili ya shirikisho ambalo ndio malengo yao?

Well Marumo alimfunga Pyramid na hiyo ndio tunaita maajabu ya mpira.

Ni kama Jwaneng Galaxy alivyomfunga Wydad kwao Morroco.

Ni matokeo ambayo yakipatikana kila upande hauamini.

Yani Marumo kumfunga Pyramids katika ardhi ya nyumbani Cairo ni jambo la kushangaza.

Na sometimes hata malengo yao unakuta yalikuwa ni kutafuta sare lakini ikatokea tu makosa yamefanyika na Marumo wakaitumia nafasi.

Maajabu kwenye mpira yapo ila hatuwezi kuyategemea kwasababu possibility yake ya kuweza kutokea ni finyu.
 
Back
Top Bottom