Anajitoa ufahamu Yanga mechi zilizobaki mnashinda si chini ya goli 5 Kila mechi na kombe mnabeba.Msimu uliopita Manyaunyau SC hamkuchapwa mechi 2 mfululizo kwa Mkapa mechi za awali baadaye ukashinda na kutinga robo fainali za CAFCL?
Kama hujitoi ufahamu kuwa Yanga SC bado ana nafasi ya kufanya vizuri na kutinga robo fainali basi kweli umbumbumbu ni kipaji......[emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwwli aisee mkubwa hajambi.Siku zote akijamba mkubwa lawama zinaenda kwa mtoto.
Kwani home hujafunzwa kuwa baba hajambi?
Wivu unakusumbuaIko sawa na ndo maana nakwambia Pasuka vimba ila draw ya nyumbani yanga kwenu haina faida yoyote..
Kwa mpira wenu mlocheza mnaenda kutia Aibu nchi nzima
Tp Mazembe ni giant wa afrika , Hata usm algers umeona alichofanya , club Africain ni Bingwa wa zamani wa caf clNakubaliana na wewe kuwa malengo ya Yanga shirikisho yalikuwa ni kufika makundi.
Lakini tukubali kuwa sababu ya wao kupitiliza hiyo hatua ilitokana na wepesi wa wapinzani.
Timu zote mlizocheza nazo zingine ndio kwanza zilikuwa zinatafuta makundi kwa mara ya kwanza.
Na nyingi zilikuwa mwishoni mwa msimamo mwa ligi zao za ndani, Marumo ikashuka na daraja kabisa.
Hilo liliwapa advantage ya kuweza kufika mbali.
Lakini huku kwa wakubwa ni ngumu sana kukutana na opportunity hiyo, nyie hamkuwa wakushangilia sare tena mkiwa nyumbani.
Aden Rageeeeeeee's voice [emoji23]Baada ya yanga kuburuza mkia kwenye kundi mna mpango gani na lile likocha lenu lenye bichwa km la nguruwe
Kwanza twende robo fainaliYanga mnabeba hili kombe
Maana yake unakubali kuwa ligi ya Afrika kusini ni ngumu kuliko shirikisho na ndio maana waliweza kufika nusu fainali?Tp Mazembe ni giant wa afrika , Hata usm algers umeona alichofanya , club Africain ni Bingwa wa zamani wa caf cl
Marumo alishuka daraja lakini league ya afrika kusini ni ngumu sana sababu ya uwekezaji kwahiyo kila timu sio kibonde kama nchi nyingine na gap ya point Kati ya timu na timu wakati mungine ni ndogo na msimu uliopita aliwazidi kaizer na Orlando .
Kwanini caf waiweke yanga top 5 wasiweke raja .
Rank hawaangalii majina makubwa au historia wanaangalia current performance .
Nooo mnabeba hili chini ya Uongozi wa Eng HersiKwanza twende robo fainali
Nyie SIMBA mlicheza nao hao AHLY juzjuz tu kwa Mkapa mkaruhusu gori 2!Wivu unakusumbua
Mm ni YangaNyie SIMBA mlicheza nao hao AHLY juzjuz tu kwa Mkapa mkaruhusu gori 2!
Kwao tuna double chance draw or win
Poa endeleeni kushika mkiaLigi bado inaendelea au ww ni kichwa maji baridi
Mkuu inakuuma sana, mara pa huo utani wako unakua kweli. Lazima utazimia weweNooo mnabeba hili chini ya Uongozi wa Eng Hersi
Mlimsaji wewe nanani,? Huna hizo pesa za kumsajili hata nyau wa kwenuTulijua hili baada ya King Mayele kusepa, ndiyomaana tulimsajili Konkoni chaguo la pili baada ya kukosa striker chaguo la awali tokana na bei ghali,
Tujikongoje hivyo hivyo tutapofikia ndipo hapo hapo tutapoanza settings za misimu mingine.
Mzize na Musonda ni akina Bahanuzi wachangamfu tu...[emoji2]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huamini?Mkuu inakuuma sana, mara pa huo utani wako unakua kweli. Lazima utazimia wewe
Kila mashindano kocha anakuwa na malengo yake , hatukujua kocha wa Marumo alikuwa na malengo yapi Kama kipaumbele chake .Maana yake unakubali kuwa ligi ya Afrika kusini ni ngumu kuliko shirikisho na ndio maana waliweza kufika nusu fainali?
Mkeka umechanika.Mechi itakua ngumu kwa timu zote kutokana na ubora wa kila timu but ALL THE BEST Young Africans
FT: YANGA X-Y AHLY
X=2+Y
Unajenga hoja kumaanisha sababu ya Marumo kushuka daraja ni kutokana na malengo ya Club yalikuwa kwenye shirikisho na sio ligi kuu?Kila mashindano kocha anakuwa na malengo yake , hatukujua kocha wa Marumo alikuwa na malengo yapi Kama kipaumbele chake .
Vilevile hatujui wakicheza michezo ya league walikuwa na fitness ya Kiwango gani ikiwemo majeruhi , kumbuka walipitia Misukosiku kadhaa ya kubadilisha makocha.
Marumo walimtoa pyramid na pyramid alikuwa mshindi wa pili kombe la fa la misri kwa kufungwa 1-2 na Al ahly !