FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

Mkuu mbona bado hujasema! Unataka Aziz akimbie,akabe,apige mashuti yote haya afanye yeye,muonee huruma ni binadamu pia.
Yanga bora imeshangilia draw ya nyumbani.
Sikumaanisha afanye vyote , angalau ashambulie kwa kujaribu mashuti baada ya plan A ya kupiga chenga Msitu wa backline ya Al ahly kushindikana
 
Sikumaanisha afanye vyote , angalau ashambulie kwa kujaribu mashuti baada ya plan A ya kupiga chenga Msitu wa backline ya Al ahly kushindikana
Asingeweza kufanya hvyo mdomo ulikuwa mzito sana😁
 
Angalia na aina ya timu. Mbona wewe ulishangilia droo na ASEC ambao kwa mjibu wa CAF unawazidi ubora mbali sana.
Kwanza Ahly ya CL ni bora kuliko ile ya AFL
Eti Ahly ya CL ni bora kuliko ya AFL,Bado hujasema. Hiyo ndo CL na bado utaenda kuona ubora wake pale Cairo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…