Sikumaanisha afanye vyote , angalau ashambulie kwa kujaribu mashuti baada ya plan A ya kupiga chenga Msitu wa backline ya Al ahly kushindikanaMkuu mbona bado hujasema! Unataka Aziz akimbie,akabe,apige mashuti yote haya afanye yeye,muonee huruma ni binadamu pia.
Yanga bora imeshangilia draw ya nyumbani.
Vp ulifanikiwa kufundishaLeo nitamfundisha yule dunduka namna ya kumfunga mwarabu Yanga daima mbele.
Asingeweza kufanya hvyo mdomo ulikuwa mzito sanaπSikumaanisha afanye vyote , angalau ashambulie kwa kujaribu mashuti baada ya plan A ya kupiga chenga Msitu wa backline ya Al ahly kushindikana
Eti Ahly ya CL ni bora kuliko ya AFL,Bado hujasema. Hiyo ndo CL na bado utaenda kuona ubora wake pale CairoAngalia na aina ya timu. Mbona wewe ulishangilia droo na ASEC ambao kwa mjibu wa CAF unawazidi ubora mbali sana.
Kwanza Ahly ya CL ni bora kuliko ile ya AFL
π€£π€£π€£Ukiacha yanga kufungwa yaani hata wakipata shot on target moja ndani ya dakika 90 watakua wamejitahidi sana.
Nacheeeeeka kwa dharauGongo wazi ndo vibonde kundini,,,,hata medeama hamumuwezi kumbukeni hii mechi hakuna kupita mango wa nyuma
kiko wapi? Mbini gani? 1?Yanga inatakiwa ijifunze kwa simba kwa jinsi gani waliweza kupata magoli mbele ya hii timu ya Al ahly.
Al Ahly wamekuja na mbinu ileile ya CR belouizdad...Yanga afirika goli mbili leo
Ulikuwa unasemaje?Yanga jiangalieni nafasi mliyopo kwenye group lenu. Ndio mjue Klabu Bingwa sio Shirikisho, wehu wakubwa nyie
View attachment 2831660
Vipi nyie mshapata degree ngapi?Yanga bado mnaendelea kujifunza kuhusu Cacl.
Karibuni kwenye ligi ya wakubwa.
Ikawaje?Yanga wanaburuza mkoani mwa kundi aka nyuma mwiko.
Ulikuwa unasemaje?Vyura Sasa wameamini kwamba hii ndio Club Bingwa ππππ
Ulikuwa unasemaje?Poleni sana watani. Asanteni kwa kushiriki. Jaribuni tena mwakani.
Haya ongea sasaπππKiko wapi ooh Simba imecheza na al ahly inetoa draw al ahly ni wabovu π€£π€£πππ€£π€£
Vipi bado unashukuru?Asante Mungu kwa ajili ya Al Ahl
Nyie mlienda na kikoi sio?Mwarabu unamuendea na msuli na unajua kabisa ni dhaifu na mambo hayo
Rudia tenaUtooooo hahahahaha waendeleze kipaji cha kupika supu hii ligi ya wanaume
RudiaUtooooo hahahahaha waendeleze kipaji cha kupika supu hii ligi ya wanaume
Tena π€£π€£Haoooooo masupu fc
Haooooooooooooo
Ikawaje?Ni rasmi sasa Yanga Tunaburuza mkia kwa points 0 SIFURI,
Bora msuli kuliko nyie kikoiπππYanga 0-1 Al Ahly
Tuliwaaambia kuhusu kumvalia misuli Al Ahly
Ona sasa kinachofanyita
View attachment 2831667