Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni Ahly sio Makolo...usikaririMakolo mna tia huruma. Baada ya vikao sasa ni maombi
Ume changanyikiwa?Hao ni Ahly sio Makolo...usikariri
Unacheza na Ahly ila unawataja Makolo huko ndio kudata.Ume changanyikiwa?
angedharua angepumzisha nyota wake, kuona kaweka full mkoko na alisha tangaza wengine kuumwa ujue anaheshimu mziki wa mwananchiHapo Yanga ndio kacheza mpaka mwisho wa kiwango chake
Wakati hapo Al Ahly wamedharau mechi.
Tulia tukupe furaha .uki zidiwa uende kwenye maombiUnacheza na Ahly ila unawataja Makolo huko ndio kudata.
Tulia unyolewe taratibu acha kumsubua kinyozi.
Mi huku niliko sioni chochote zaidi ya kusoma comment huku. Hivi ni kweli wamevaa misuli?Wananchi na misuli yetu tunabana Pumba hapa. Jamaa kipindi cha pili si wanatupelekea moto wananchi.
TulieniDah! Hii mechi utafikiri ni fainali!! Kweli zimekutana timu bora kabisa Barani Afrika. Kwenye mechi na Makolo hawa Al Ahly walikuwa tofauti kabisa na hawa wa leo.
Furahia mpira wewe. Hakuna papatu papatu hapo. Hata itokee tukafungwa, ila chenga tumewala.Tulieni
Uwezi kucheza kibabe na mgonjwaHawa waarabu mbona mechi na simba hawakucheza hivi jmn
Tofauti yao na hawa ni ipi ?...Kwenye mechi na Makolo hawa Al Ahly walikuwa tofauti kabisa na hawa wa leo.
Hakika aisee dahUwezi kucheza kibabe na mgonjwa