Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Nani wa kunisamehe humu? Matusi pelekeni kwenye nyuzi zenu huko.Asamehewe tu......
Hakuna mmiliki Wa nyuzi humu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani wa kunisamehe humu? Matusi pelekeni kwenye nyuzi zenu huko.Asamehewe tu......
Hakuna mmiliki Wa nyuzi humu...
Lakini hiyo ni word play sio tusiNaona baada ya kuvumilia kwa muda mrefu, umeamua kuhamia kwenye matusi.
Hivi hujisikii hata aibu. Uzi haukuhusu, ila muda wote unawashwa washwa tu.
Nmeamini kweli wewe HUNA AKILI!
kwahyo mchezazi akiumia asioneshe kaumia ili asipewe matibabu
Mtu anatumia nguvu kubwa kukaba kukimbia na kutoa pasi
We unadhani ni easy kama kumtoa dem wako chupi?
Daah mpeni maji mtani wetu...Nani wa kunisamehe humu? Matusi pelekeni kwenye nyuzi zenu huko.
HII MECHI IISHE TU HATA KWA DRAW HII, AHLY WASHAKOSA NAFASI TATU ZA WAZI
Mmeanza kumlaumu kocha sasa!Yanga tunakosa mbinu za kiufundi Gamondi ajitafakari, Yanga ni kubwa kuliko yeye
Ha ha haaaaaaaaaa mnalooooNaanza kuelewa kwanini watani walikuwa wanafanya zile figisu vyumbani, hawa watu kucheza nao hivi hivi ni ngumu sana
Fungeni magoli, acheni porojo.Naanza kuelewa kwanini watani walikuwa wanafanya zile figisu vyumbani, hawa watu kucheza nao hivi hivi ni ngumu sana
Teh teh 😃😃 ongeeni na Manara vizuri awape mbinu.Naanza kuelewa kwanini watani walikuwa wanafanya zile figisu vyumbani, hawa watu kucheza nao hivi hivi ni ngumu sana
Vipi wa papatu kasha toboautopolokwinyo wazee wa supu wazee wa musuli kimsingi washatoka haya mashindano kina kirefu hawayawezi
Wanaburuza mkia, wakiiambiwa CAFL ni ngumu wawe wanauliza kwa watangulizi waoYanga wanaburuza mkoani mwa kundi aka nyuma mwiko.