Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Ulikuwa umejikunyata. Unakamatia mbupu bro msipigwe la pili.Mxyuuuuuuuuu
Basi njoo na nyota mojaChenji nmenunua fegi sina kitu... Lala tu ntakusimulia yaliyojiri kwenye redio
Subiri tarehe 8 sio mbalHivi kweli uto mna akili yaani vimechi kama hivi vya kufungulia msimu mnapambania kubebwa
Mbeleko imeanzia wapi hebu tuonyesheni sisi tusioelewa sheria za mpirakwahio mnafurahia mbereko?
Labda waliibe..Hiki ki mkangafu ndio mnasema mnaenda kuchukua kombe la CAF
Mkuu πTarehe nane Yanga watafungwa na Simba.
Yanga wakipata hata goli moja mnikate Pumbu.
Hii ilikuwa chai subira tarehe 8Tarehe nane Yanga watafungwa na Simba.
Yanga wakipata hata goli moja mnikate Pumbu.
Wananchi tumemaliza magoli uwanjani tuhamie magoli ya chumbani sasa.... πΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉUlikuwa umejikunyata. Unakamatia mbupu bro msipigwe la pili.
Baada ya mbeleko ya referee unatokea.
Nyambafuuu
Hizo pumbu tutazibanika mjomba wake kibuTarehe nane Yanga watafungwa na Simba.
Yanga wakipata hata goli moja mnikate Pumbu.
Marefa wa kibongo wataishia kuchezesha ligi ya kibongo tu kimataifa watasubili sanaTFF na Bodi ya ligi mmejionea wenyewe UHUNI wa Marefa mapema kabisa hata ligi bado haijaanza, Mapema tu Marefa wameshaanza kuhongwa mpaka mechi za kirafiki....
Tarehe nane Yanga watafungwa na Simba.
Yanga wakipata hata goli moja mnikate Pumbu.
Hakuna nafasi nyingine Red Arrows waliyotengeneza zaidi ya ile ya goli lao 1 tu.hilo goli la red arrows lisiwapumbazee hakuna kitu wamechezaa ukweli uswemwee
Lile kono la nyani ilikua msaada wa nani?Bila msaada wa refa hawatoboi hawa wajomba
Huoni msaada mliopewaLile kono la nyani ilikua msaada wa nani?